Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 3
Habari

MAIKO SALALI WA FDH AINGIA KINYANG’ANYILO CHA UBUNGE JIMBO LA MPWAPWA

June 30, 2025 Admin

MKURUGENZI wa Shirika lisilo la kiserikali la Foundation for Disability Hope FDH Maiko Salali, ameingia rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge kwa kuchukua fomu ya

Read More
Habari

Askofu Laizer asimikwa kuwa msaidizi wa Askofu KKKT

June 30, 2025 Admin

Arusha. Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) limemsimika na kumuingiza kazini Mchungaji Jeremia Laizer, kuwa msaidizi wa Askofu Mkuu Dayosisi ya Arusha. Mchungaji Laizer aliyekuwa

Read More
Habari

Profesa Janabi akabidhiwa ofisi WHO

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Profesa Mohamed Janabi, ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika amekabidhiwa ofisi na kuanza rasmi kazi. Janabi

Read More
Michezo

Huyu ndiye amechukua nafasi ya Arafat Haji PBZ

June 30, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar amemteua Fahad Soud Hamid kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ). Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu

Read More
Habari

RC Iringa awaapisha maDC walioteuliwa na Rais Samia

June 30, 2025 Admin

‎Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amewaapisha wakuu wa wilaya walioteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan hivi karibuni kuongoza wilaya za Iringa na

Read More
Habari

Waziri Gwajima afungua dawati la jinsia stendi ya Magufuli, asema…

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima amesema kuna umuhimu wa kuanzisha madawati ya jinsia katika

Read More
Habari

RC Batilda akerwa utoro wa watumishi kazini, atoa agizo

June 30, 2025 Admin

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amepiga marufuku uombaji wa ruhusa usio na lazima kwa watumishi wa Serikali wakiwamo wakuu wa wilaya,

Read More
Habari

Simulizi ya baba wa bibi barusi alivyopata taarifa ya ajali Same akiwa kwenye sherehe

June 30, 2025 Admin

Moshi. Jaffary Michael ambaye ni baba wa bibi harusi aliyepoteza ndugu, jamaa na marafiki 30 katika ajali ya mabasi mawili yaliyogongana na kulipuka moto wilayani

Read More
Habari

JOSEPH MHAGAMA ACHUKUA FOMU UBUNGE MADABA

June 30, 2025 Admin

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kizito Mhagama, amechukua fomu ya kuwania tena nafasi ya ubunge wa

Read More
Habari

Zege halilali…wengine wajitosa ubunge CCM, yumo Mama Salma Kikwete

June 30, 2025 Admin

Dar/Mikoani. Ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania ubunge ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 4 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.