MKURUGENZI wa Shirika lisilo la kiserikali la Foundation for Disability Hope FDH Maiko Salali, ameingia rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge kwa kuchukua fomu ya
Month: June 2025

Arusha. Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) limemsimika na kumuingiza kazini Mchungaji Jeremia Laizer, kuwa msaidizi wa Askofu Mkuu Dayosisi ya Arusha. Mchungaji Laizer aliyekuwa

Dar es Salaam. Profesa Mohamed Janabi, ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika amekabidhiwa ofisi na kuanza rasmi kazi. Janabi

Unguja. Rais wa Zanzibar amemteua Fahad Soud Hamid kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ). Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu

Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amewaapisha wakuu wa wilaya walioteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan hivi karibuni kuongoza wilaya za Iringa na

Dar es Salaam. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima amesema kuna umuhimu wa kuanzisha madawati ya jinsia katika

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amepiga marufuku uombaji wa ruhusa usio na lazima kwa watumishi wa Serikali wakiwamo wakuu wa wilaya,

Moshi. Jaffary Michael ambaye ni baba wa bibi harusi aliyepoteza ndugu, jamaa na marafiki 30 katika ajali ya mabasi mawili yaliyogongana na kulipuka moto wilayani

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kizito Mhagama, amechukua fomu ya kuwania tena nafasi ya ubunge wa

Dar/Mikoani. Ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania ubunge ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),