Kibano waandishi wanaoingia kwenye siasa

Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeweka msimamo kwa waandishi wa habari waliotangaza na wale wenye nia ya kuingia kwenye siasa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 kutoendelea kufanya kazi za uandishi wa habari. Msimamo wa bodi hiyo umekuja kipindi ambacho baadhi ya waandishi wa habari tayari wameshatangaza nia ya…

Read More

Umemzingatia pilato Amin Omar? | Mwanaspoti

MCHEZO wa Dabi ya Kariakoo umemalizika ukihitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara 2024-2025 na kutoa jibu la bingwa baada ya Yanga kuichapa Simba mabao 2-0, ushindi ambao umeifanya timu hiyo kutwaa ubingwa huo mara nne mfululizo na 31 kihistoria. Mchezo huo umeiingiza Tanzania kwenye historia mpya baada ya kuamuliwa na waamuzi kutoka Misri. …

Read More

Kizungumkuti mazishi ya Lungu kama Mwanawasa

Dar es Salaam. Yanayomkuta Rais wa sasa wa Zambia, Hakainde Hichilema, kwa kunyimwa fursa ya kuhudhuria mazishi ya Rais wa zamani, Edgar Lungu, yanafanana na yaliyomkuta Michael Sata alipofukuzwa na familia kwenye msiba wa Rais wa zamani, Levy Mwanawasa. Ingawa Mwanawasa alimaliza tofauti zake za kisiasa na Sata kabla ya kufariki dunia, mjane wake, Maureen…

Read More

Mgaza miwili tena Dodoma Jiji

MABOSI wa Dodoma Jiji, wamemalizana na mshambuliaji wao, Yassin Mgaza kwa kumuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi msimu wa 2026-2027. Mshambuliaji huyo alijiunga na Dodoma jiji Julai 2023 akitokea KMKM ya Zanzibar, ambapo alisaini mkataba wa miaka miwili ambao umefikia ukingoni msimu huu. Umuhimu wake kikosini hapo umempa ulaji mpya. Chanzo cha kuaminika…

Read More

Licha ya kuanguka kwa Assad, biashara haramu ya dawa za kulevya nchini Syria ni mbali zaidi – maswala ya ulimwengu

Licha ya uadui wa sasa wa serikali kwa biashara hiyo, nchi inabaki kuwa kitovu cha uzalishaji na usambazaji wa dawa hiyo. Wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya nchi hiyo, serikali ya Assad iligongwa na vikwazo na kutengwa kwa kidiplomasia, na biashara ya Captagon inaaminika ilileta mabilioni ya dola kwa dikteta na washirika wake….

Read More

Camara atibuliwa Simba | Mwanaspoti

KITENDO cha kipa wa Simba, Moussa Camara kuruhusu mabao mawili katika mechi ya Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, kimemfanya nyota huyo kushindwa kuandika rekodi mpya ya kumaliza msimu akiwa na ‘clean sheets’ nyingi zaidi kwenye Ligi Kuu Bara. Camara aliyejiunga na Simba msimu huu akitokea Horoya AC ya kwao Guinea, amemaliza ligi akiwa kinara…

Read More

Rekodi ya Mkude yaendelea kuishi

LICHA ya kiungo wa Yanga, Jonas Mkude kutocheza mechi ya juzi ya Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba, ila nyota huyo ameendeleza rekodi nyingine bora ya kutopoteza mechi yoyote ya dabi hiyo kwenye Ligi Kuu Bara, akiwa amechezea timu hizo zote mbili. Katika mechi hiyo ya juzi, Yanga ilishinda mabao 2-0, yaliyofungwa na Pacome Zouzoua…

Read More

Dabi yampa Oumba mbinu za ushindi fainali FA

DAKIKA 90 za mchezo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya watani zao Simba zimemtosha kocha wa Singida Black Stars, David Ouma kutambua ni wapi anatakiwa kufanyia kazi kabla ya kuvaana na timu hiyo Jumapili hii na kushinda. Ouma ameliambia Mwanaspoti alikuwa na dakika 90 za kuisoma Yanga ikiifunga Simba kwa mabao 2-0 huku akibaini ubora…

Read More