Washindi Tuzo ya Safal ya Kiswahili kujulikana Julai 3

Dar es Salaam. Wakati washindi wa tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa tanzu za riwaya, ushairi, wasifu, tamthilia na michoro wakitarajiwa kutangazwa Julai 3, 2025, imeelezwa kuwa kiwango cha ubora wa miswada inayoshindanishwa kinaongezeka kila mwaka, lengo likiwa ni kukienzi Kiswahili. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Juni 26, 2025 jijini Dar es…

Read More

Juventus vs Man City Kukupatia Faida Mara 2 Leo

MICHUANO ya kombe la Dunia kwa vilabu inazidi kuendelea ambapo Meridianbet kila siku wao wanatafuta namna pekee ya wewe kuweza kuondoka na mpunga wa maana kabisa na mechi hizi. Bashiri kwa GG&3+ mechi ya Juventus vs Man City ushinde pesa mara 2 zaidi. Juventus ambao wana kocha mpya Igor Tudor wanahitaji kushinda taji hili lenye…

Read More

Suluhisho za Kisasa za SICPA zinawezesha serikali kulinda bidhaa zinazopaswa kufuata viwango maalum vya ubora na usalama

Suluhisho za Kisasa za SICPA Zinaongeza Imani ya Wateja na Uadilifu wa Soko Tanzania, kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Zanzibar (ZBS), limepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 72 na Vikao vya Baraza la Shirika la Kanda la Viwango Afrika (ARSO), vitakavyofanyika kuanzia tarehe 23 hadi…

Read More

Uhasama wa Marekani, Iran katika mwanga mpya

Sasa dunia imeanza sura mpya kabisa katika uhusiano kati ya Marekani na Iran uhusiano ambao unaweza kuwa bora zaidi au mbaya zaidi kabisa. Kwa karibu miaka hamsini iliyopita, dunia imekuwa mashuhuda wa uhasama sugu vitisho, njama na maneno yenye sumu kati ya Marekani na Iran. Marekani imekuwa ikiitaja Iran kama ‘Shetani Mkuu’ au ‘Kitovu cha…

Read More

Utata wa mazishi ya viongozi wanaofia uhamishoni

Katika historia ya Afrika, vifo vya viongozi wakuu vinavyotokea wakiwa nje za nchi zao vimekuwa chanzo cha mzozo wa kisiasa, mashauri ya kisheria na mijadala mikubwa ya kitaifa. Mfano wa karibuni zaidi ni wa aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, ambaye habari za kifo na mazishi yake zimetamba sana katika vyombo mbalimbali vya habari duniani….

Read More