Ubingwa wa Yanga wamuibua Ramovic

BAADA ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo, aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Sead Ramovic amevunja ukimya na kutoa pongezi kwa klabu hiyo, huku akieleza fahari yake kwa kuwa sehemu ya mafanikio hayo. Ramovic, ambaye aliiongoza Yanga katika mzunguko wa kwanza wa msimu wa 2024/25 kabla ya kutimkia…

Read More

Dube ashindwa kujizuia, achekelea taji Ligi Kuu Bara

KWA miaka minne alicheza katika Ligi Kuu Bara akiwa na Azam FC. Msimu baada ya msimu, ndoto yake ya kutwaa ubingwa iliendelea kuwa mbali licha ya juhudi kubwa alizoweka uwanjani.  Lakini msimu huu wa 2024/25, hatimaye Prince Dube, mshambuliaji kutoka Zimbabwe, amevuna alichokipanda akiwa sehemu ya kikosi cha Yanga kilichotwaa ubingwa wa ligi kwa kishindo….

Read More

Kilichowaponza JKT, UDSM DBL ni hiki hapa

Kujiamini kwa JKT na UDSM Outsiders,  ndiko kulikofanya hadi timu hizo zikapoteza michezo yao miwili ya Ligi ya  Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Ligi hiyo ambayo kwa sasa imesimama kupisha mashindano ya Kombe la Taifa, imekuwa na ushindani mkubwa tofauti  na miaka iliyopita. JKT iliyokuwa ikijiamini itashinda, ilifungwa na UDSM iliyoondokewa na nyota wake…

Read More

Iran – Deja Vu tena – maswala ya ulimwengu

Mkuu wa IAEA Rafael Grossi alisema Iran imeripoti hakuna kuongezeka kwa viwango vya mionzi nje ya Fordow, Isfahan na Natanz maeneo ya nyuklia. Baada ya mshangao wa shambulio la mabomu la Amerika kwenye vituo vya utajiri wa urani wa Irani mwishoni mwa wiki, mkuu wa walinzi wa nyuklia wa UN walioungwa mkono na Jumatatu aliomba…

Read More

Dodoma Kuandika Historia Mpya ya Usafishaji wa Shaba

-Kiwanda cha Shengde chakaribia kuanza uzalishaji rasmi mwezi Julai Mkoa wa Dodoma unajiandaa kuandika historia mpya katika sekta ya usafishaji wa madini, kufuatia hatua za mwisho za ujenzi wa kiwanda kipya cha Shengde Precious Metal Resources Company Ltd, kilichopo eneo la Nala, ambacho kinatarajiwa kuanza rasmi uzalishaji wa copper cathode mwezi Julai, 2025. Katika ziara…

Read More