Ubingwa wa Yanga wamuibua Ramovic
BAADA ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo, aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Sead Ramovic amevunja ukimya na kutoa pongezi kwa klabu hiyo, huku akieleza fahari yake kwa kuwa sehemu ya mafanikio hayo. Ramovic, ambaye aliiongoza Yanga katika mzunguko wa kwanza wa msimu wa 2024/25 kabla ya kutimkia…