Straika JKT Tanzania kiroho safi

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema msimu wa Ligi Kuu Bara uliomalizika jana Jumatano ulikuwa  mzuri kwao, lakini umewaachia somo la kujipanga ili ujao wa 2025/26 waweze kufanya makubwa zaidi. Songo ambaye amemaliza msimu akiwa na mabao sita na asisti mbili, alisema kitendo cha timu hiyo kumaliza nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi…

Read More

Hoza apewa miwili Dodoma Jiji

KIUNGO mkabaji wa Dodoma Jiji, Salmin Hoza ataendelea kusalia kwenye klabu hiyo hadi 2027 baada ya kuongeza mkataba miaka miwili. Kiungo huyo alijiunga na Dodoma Jiji 2020 kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Azam FC hadi sasa ameendelea kuitumikia timu hiyo akiwa mchezaji halali wa klabu hiyo baada ya kumaliza mkataba na waajiri wake wa…

Read More

Karibu Ibenge tutakupima kimataifa | Mwanaspoti

MATAJIRI wa Azam FC wamecharuka kweli na kijiweni hapa tumepata habari za uhakika kutika viunga vya Azam Complex kule Chamazi kuwa kocha mpya ajaye ni Mkongomani Florent Ibenge. Baada ya kuiongoza Azam kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi, kocha mwandamizi Rachid Taoussi atapewa mkono wa kwaheri kumpisha Ibenge anayetokea Al Hilal ya…

Read More

Ahly, Wydad zimevuna zilichopanda Kombe la Dunia

MAMBO yameonekana kuwa magumu sana kwa wawakilishi wa Afrika katika Fainali za Kombe la Dunia la Klabu zinazoendelea huko Marekani. Kilichotusikitisha zaidi hapa kijiweni ni Wydad Casablanca na Al Ahly kuaga mashindano hayo bila kupata ushindi angalau katika mechi moja jambo ambalo wengi hatukulitegemea kabla mashindano hayo hayajaanza. Ilipaswa hata kama hazikuwa vizuri basi angalau…

Read More

Mangungu, Hersi bungeni wasitusahau | Mwanaspoti

KUNA roho fulani inaniambia kuwa viongozi wawili wa juu wa klabu za Simba na Yanga watajitosa kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na Rais wa klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said. Kwa namna ambavyo hawa watu wamepata mafanikio katika…

Read More

 Karibu Ibenge tutakupima kimataifa | Mwanaspoti

MATAJIRI wa Azam FC wamecharuka kweli na kijiweni hapa tumepata habari za uhakika kutika viunga vya Azam Complex kule Chamazi kuwa kocha mpya ajaye ni Mkongomani Florent Ibenge. Baada ya kuiongoza Azam kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi, kocha mwandamizi Rachid Taoussi atapewa mkono wa kwaheri kumpisha Ibenge anayetokea Al Hilal ya…

Read More

AFRO-FUSION ARTIST NELLA IGNITES CULTURAL CELEBRATION WITH NEW SINGLE ‘DANDA KIDI’ ….. A LOVE LETTER TO AFRICA AND ITS WOMEN

-Rising Afro-Fusion artist Nella returns with a new single, ‘Danda Kidi’, a beautiful celebration of African women. In a world increasingly shaped by global voices, NELLA stands tall, a vibrant cultural storyteller, ready to shake the ground with her electrifying new single. More than just a song, DANDA KIDI is a movement, a blazing tribute…

Read More