SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MIFUMO RASMI YA KIFEDHA KUKUZA UCHUMI WA MWANANCHI

Josephine Majura na Chedaiwe Msuya, WF, Dodoma Serikali imewataka Waratibu wa Huduma Ndogo za Fedha nchini kuongeza kasi, ubunifu na weledi katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya mifumo rasmi ya kifedha inayotambulika na kusimamiwa na Serikali ili kuhakikisha wanapata maarifa yatakayowawezesha kujikwamua kiuchumi kwa njia salama na endelevu. Agizo hilo limetolewa na…

Read More

MIFUMO YA KIDIJITALI INAWEKA UWAZI NA UWAJIBIKAJI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA-NAIBU WAZIRI KAPINGA

Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga akizungumza wakati Uzinduzi wa Mfumo wa TANESCO  wa Uwekezaji (TIMS)uliofanyika jijini Dar es Salaam. Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Isaac Chanji akitoa maelezo kuhusiana na umuhimu wa Mfumo TIMS wakati uzinduzi ,jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO  Lazaro Twange akitoa maelezo kuhusiana na safari ya…

Read More