Simba yamnyatia beki wa Al Hilal

KIPIGO ilichopokea Simba kutoka kwa Yanga kwenye Dabi ya Kariakoo, kimewaumiza mashabiki wa timu hiyo ambao wanaamini msimu ujao watarudi wakiwa imara zaidi huku wakitaka maboresho ya kikosi yaendelee kufanyika. Ombi hilo la mashabiki limesikiwa na viongozi wa Simba ambao wameanza mchakato wa kuboresha kikosi kwa kufanya mazungumzo na beki kushoto wa klabu ya Al…

Read More

Fei Toto, Yanga kimeeleweka | Mwanaspoti

KUNA furaha inaendelea Jangwani yalipo Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, hiyo ni baada ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo na ya 31 kihistoria. Wakati furaha hiyo ikishamiri, kuna jambo lingine limeibuka ambalo linanogesha kile kinachoendelea katika klabu hiyo, hili linahusu usajili. …

Read More

Biashara ya kiwango kidogo inakuwa beacon ya tumaini kwa wanawake wa Afghanistan-maswala ya ulimwengu

Barabara ya Kabul iliyokuwa na barabara karibu na ngazi isiyo na alama chini ya mgahawa wa wanawake pekee-iliyoko kwenye basement ili kuhakikisha kuwa hakuna wanawake wanaweza kuonekana kutoka nje, kwani wamezuiliwa kufanya kazi au kula hadharani na wanaume. Mikopo: Kujifunza pamoja. Kabul Jumatano, Juni 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mwandishi ni mwandishi wa…

Read More

TEKNOLOJIA KUIVUSHA TANZANIA KWENYE UCHUMI WA KISASA

::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katika juhudi za kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kisasa unaotegemea ubunifu, sayansi na teknolojia, serikali kwa kushirikiana na Benki ya Teknolojia ya Umoja wa Mataifa kwa Nchi Zinazoendelea (LDCs), imezindua rasmi Ripoti ya Tathmini ya Mahitaji ya Teknolojia (TNA). Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam Juni 25,…

Read More

WMO inaonya kuwa Asia ina joto mara mbili kwa kiwango cha wastani cha ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Muhammed Arshad anashiriki wakati wa kuburudisha na binti yake wa miaka 4, Ayesha, wakati wanagawanyika kwenye mfereji nchini Pakistan, kupata utulivu kutoka kwa joto. Hii inafuatia moto mkubwa wa wiki moja uliotokea nchini Pakistan mnamo Mei 2024. Mkopo: UNICEF/Zaib Khalid na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Juni 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Mchakato wa Chaumma kumpata mgombea urais nchini kuanza

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza kuwa mchakato wa kumpata mgombea wa urais wa Tanzania kupitia chama hicho, pamoja na kupitisha ilani ya uchaguzi, utafanyika baada ya kukamilika kwa mikutano ya awamu ya pili ya Operesheni C4C. Kalenda ya kumpata mgombea huyo, imesogezwa mbele kwa mara ya pili mfululizo kwa sababu…

Read More