Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 36
Habari

Siku 15 za moto ziara ya Wasira mikoa ya Ruvuma, Geita, Mwanza

June 25, 2025 Admin

Mwanza. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira anaendelea na ziara yake ya kukagua uhai wa chama ambao amezungumza na viongozi

Read More
Habari

Mjadala Sheria ya Fedha wahitimishwa kwa ahueni maeneo haya

June 25, 2025 Admin

Dodoma. Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2025, Serikali ikifanya marekebisho kwa baadhi ya maeneo yaliyozua mjadala bungeni na miongoni mwa wadau.

Read More
Habari

Wiki ya hekaheka mchakato majimboni, Rais Samia akielekea kulihutubia Bunge

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ni wiki ya hekaheka katika siasa nchini. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na matukio makubwa katika medani za siasa yanayotarajiwa kufanyika. Wiki hii,

Read More
Habari

Aliyekutwa na vipande saba vya kiboko, ahukumiwa kifungo cha nje

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Damian Nyanga (42) kifungo cha nje cha miezi 12, kutofanya kosa lolote la jinai, baada ya

Read More
Habari

Polisi: Baba wa watoto waliouawa alishikiliwa kwa mahojiano

June 25, 2025 Admin

Hai. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro imemuachia kwa dhamana Evance Kileka ambaye ni mume wa Mary Mushi anayedaiwa kuwaua watoto wake wawili. Mary anadaiwa kuwaua wanaye

Read More
Habari

Vituo vya mafuta vyageuzwa maegesho ya magari

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikitumika kama maegesho ya magari, jambo ambalo ni hatari na kinyume cha masharti ya leseni, sheria

Read More
Habari

Mtaalamu ashauri ruzuku iwepo kushughulikia bima ya afya kwa wote

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Licha ya serikali kubainisha vyanzo nane vya tozo kuchangia bima ya afya kwa wote kwa wasio na uwezo, mtaalamu ameshauri kuwa ili

Read More
Habari

HUDUMA ZA USAFIRI ZAIMARISHWA MIJI 11 MRADI WA TACTIC ki

June 25, 2025 Admin

……………. Waziri Mchengerwa akemea vikali Makandarasi wanao legalega Makandarasi wanao wanaopunhuza hela za mradi moja kupeleka mradi mwingine watakiwa kuacha mara moja  Hayo yamebainishwa leo

Read More
Habari

Tanesco yafungua milango sekta binafsi kuwekeza kwenye umeme

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limefungua milango kwa wawekezaji kutoka sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ili kuongeza upatikanaji wa umeme

Read More
Habari

Mabaharia watoa kilio cha ajira, Serikali yajibu

June 25, 2025 Admin

Unguja. Mabaharia wa Tanzania wametaja changamoto nane na mapendekezo 11 yenye lengo la kuimarisha mazingira ya kazi, kulinda haki zao na kutoa fursa za ajira

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 35 36 37 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.