Mjadala Sheria ya Fedha wahitimishwa kwa ahueni maeneo haya

Dodoma. Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2025, Serikali ikifanya marekebisho kwa baadhi ya maeneo yaliyozua mjadala bungeni na miongoni mwa wadau. Miongoni mwa maeneo hayo ni kuhusu ushuru wa bidhaa kwenye huduma za mawasiliano ya kielektroniki na tozo ya dola 44 kwa watalii wanaoingia nchini. Muswada huo umewasilishwa bungeni leo Juni…

Read More

Vituo vya mafuta vyageuzwa maegesho ya magari

Dar es Salaam. Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikitumika kama maegesho ya magari, jambo ambalo ni hatari na kinyume cha masharti ya leseni, sheria na kanuni za usalama wa mafuta. Katika baadhi ya vituo vya mafuta kuanzia saa 2:00 usiku hadi saa 11:00 alfajiri huwapo malori ya mizigo, daladala, teksi, magari binafsi na yale…

Read More

HUDUMA ZA USAFIRI ZAIMARISHWA MIJI 11 MRADI WA TACTIC ki

……………. Waziri Mchengerwa akemea vikali Makandarasi wanao legalega Makandarasi wanao wanaopunhuza hela za mradi moja kupeleka mradi mwingine watakiwa kuacha mara moja  Hayo yamebainishwa leo 25 June 2025 jijiin Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ,Tawala za mikoa na serikali za mitaa(TAMISEMI)Mohamed Mchengerwa katika hafla ya utiaji saini miradi ya uboreshaji wa miundombinu  Amesema kuwa…

Read More

Tanesco yafungua milango sekta binafsi kuwekeza kwenye umeme

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limefungua milango kwa wawekezaji kutoka sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ili kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika na nafuu. Katika kufanikisha hilo, shirika hilo limeanzisha Mfumo wa Usimamizi wa Uwekezaji wa Tanesco (TIMS), unaomwezesha mwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuona taarifa za miradi…

Read More

Mabaharia watoa kilio cha ajira, Serikali yajibu

Unguja. Mabaharia wa Tanzania wametaja changamoto nane na mapendekezo 11 yenye lengo la kuimarisha mazingira ya kazi, kulinda haki zao na kutoa fursa za ajira katika soko la kimataifa. Akisoma risala kwa niaba ya vyama vya mabaharia nchini, Kapteni Josiah Mwakibuja, leo Julai 25, 2025, katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mabaharia Duniani yaliyofanyika…

Read More