Mwanza. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira anaendelea na ziara yake ya kukagua uhai wa chama ambao amezungumza na viongozi
Month: June 2025

Dodoma. Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2025, Serikali ikifanya marekebisho kwa baadhi ya maeneo yaliyozua mjadala bungeni na miongoni mwa wadau.

Dar es Salaam. Ni wiki ya hekaheka katika siasa nchini. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na matukio makubwa katika medani za siasa yanayotarajiwa kufanyika. Wiki hii,

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Damian Nyanga (42) kifungo cha nje cha miezi 12, kutofanya kosa lolote la jinai, baada ya

Hai. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro imemuachia kwa dhamana Evance Kileka ambaye ni mume wa Mary Mushi anayedaiwa kuwaua watoto wake wawili. Mary anadaiwa kuwaua wanaye

Dar es Salaam. Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikitumika kama maegesho ya magari, jambo ambalo ni hatari na kinyume cha masharti ya leseni, sheria

Dar es Salaam. Licha ya serikali kubainisha vyanzo nane vya tozo kuchangia bima ya afya kwa wote kwa wasio na uwezo, mtaalamu ameshauri kuwa ili

……………. Waziri Mchengerwa akemea vikali Makandarasi wanao legalega Makandarasi wanao wanaopunhuza hela za mradi moja kupeleka mradi mwingine watakiwa kuacha mara moja Hayo yamebainishwa leo

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limefungua milango kwa wawekezaji kutoka sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ili kuongeza upatikanaji wa umeme

Unguja. Mabaharia wa Tanzania wametaja changamoto nane na mapendekezo 11 yenye lengo la kuimarisha mazingira ya kazi, kulinda haki zao na kutoa fursa za ajira