Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 37
Kimataifa

Kwa nini Kuijenga Amani Kuhitaji Ajenda mpya ya Ulimwenguni – Maswala ya Ulimwenguni

June 25, 2025 Admin

Maoni na Sania Farooqui (Bengaluru, India) Jumatano, Juni 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Sanam Naraghi Anderlini juu ya Mageuzi ya UN na nguvu

Read More
Habari

Serikali Zambia yapeleka zuio la mahakama, mazishi ya Lungu yasimamishwa Afrika Kusini

June 25, 2025 Admin

Johannesburg. Mgogoro kuhusu mahali atakapozikwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, umechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini kusitisha mazishi yaliyokuwa

Read More
Habari

Afrika yatakiwa kuungana kudhibiti ubora, kuongeza ushindani wa biashara

June 25, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali za Afrika zina kila sababu ya kuunga mkono viwanda vidogovidogo na vya kati, ili kuweka mazingira

Read More
Habari

DKT. BITEKO AZIPONGEZA SSF NA TOTAL ENERGIES KUFIKIA VIWANGO VYA JUU VYA USALAMA VYA USAFIRISHAJI

June 25, 2025 Admin

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezipongeza Kampuni za Total Ernergies na Super Star Fowarders – SSF  kwa kuweza kufikia

Read More
Habari

LST YASHIRIKI KAMPENI YA MAMA SAMIA YA MSAADA WA KISHERIA

June 25, 2025 Admin

Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) imeshiriki kutoa huduma ya msaada wa kisheria kwenye Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia

Read More
Michezo

Yanga yatetea ubingwa Ligi Kuu ikiichapa Simba

June 25, 2025 Admin

Pacome Zouzoua na Clement Mzize wamekuwa mashujaa wa Yanga leo hii baada ya kuiongoza timu yao kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba

Read More
Habari

Kenya yazuia maandamano ya Gen-Z kuoneshwa mubashara

June 25, 2025 Admin

Nairobi. Maandamano yanayoendeshwa na kizazi cha Gen-Z  Kenya yamefanya Mamlaka ya Mawasiliano (CA) kuagiza vituo vyote vya televisheni na redio kuacha kurusha matangazo ya moja

Read More
Michezo

YANGA SC MABINGWA NBCPL 2024-2025

June 25, 2025 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imeibuka mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara (NBCPL) baada ya kufanikiwa kushinda mechi yao ya kiporo

Read More
Habari

Gambo aibana Serikali kuhusu hatima ya kiwanda cha General Tyre bungeni

June 25, 2025 Admin

Dodoma. Hoja ya kufufua kiwanda cha kutengeneza matairi cha General Tyre, imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, kuhoji mpango

Read More
Michezo

Yanga Yaipiga Simba, Yabeba Ubingwa – Global Publishers

June 25, 2025 Admin

Last updated Jun 25, 2025 Mchezaji wa Young Africans, Pacome Zouzoua Klabu ya Yanga SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 36 37 38 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.