Rais Samia atoa ujumbe kwa viongozi Afrika

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili kushirikiana kufanikisha hatua nyingine za mageuzi ya kifikra na kutafuta uhuru wa kiuchumi. Hatua mojawapo, amesema, ni kuhakikisha nchi hizo zinaunganisha watu na kuleta umoja wa kitaifa, ikiwa ni sehemu ya jitihada ya kujitafutia uhuru…

Read More

CCM: Hatutakata majina Uchaguzi Mkuu Oktoba

Sengerema. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, hakuna mgombea atakayekatwa jina lake bali watateuliwa wale wanaokubalika na wananchi pekee. Chama hicho kimewasisitiza wajumbe wake kusikiliza sauti ya wananchi na kutowapitisha watu ambao hawakubaliki na wananchi, hususan wale wanaotumia fedha kupata madaraka. Kauli hiyo ilitolewa jana jioni Juni 24, 2025…

Read More

Promosheni ya Ushindi Kwa Wacheza Super Heli

WEWE ni mmoja wa wanaotafuta nafasi ya kujishindia zawadi yenye thamani? Meridianbet imekuandalia promosheni kabambe ambapo unaweza kuibuka mshindi wa simu mpya aina ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Juni, washindi wawili watajinyakulia simu hizi kila Jumatatu kwa kushiriki tu kwenye mchezo huu wa kasino…

Read More

Mchengerwa atema cheche miradi kuwekwa wazi

Dodoma. Serikali imeagiza Wakurugenzi kote nchi kuweka wazi mikataba ya wakandarasi wanaojenga miradi kwenye maeneo yao kwani kufanya kwa kificho kunapeleka mashaka kwa wananchi na Serikali. Agizo hilo limetolewa leo Jumatano Juni 25,2025 Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mohamed Mchengerwa wa utiaji saini mikataba ya uboreshaji wa Miundombinu ya miji…

Read More