Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 39
Habari

Watanzania 42 waliokwama Israel kurejea leo nchini

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kutokana na machafuko yaliyoibuka kati nchi hiyo na Iran, watarejea leo Tanzania, kwa ndege ya Ethiopian.

Read More
Habari

TIB yapewa Sh30 bilioni kuinua viwanda vidogo, vya kati nchini

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Benki ya Maendeleo (TIB) imethibitisha tena dhamira yake ya kuyawezesha makampuni madogo na ya kati (SMEs) kama chachu ya ukuaji wa uchumi,

Read More
Habari

ZDCEA yabaini matumizi mbadala wa dawa za kulevya

June 25, 2025 Admin

Unguja. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (ZDCEA) imesema baada ya kusambaratisha mitandao ya uhalifu na kuziba mianya ya uingizaji wa

Read More
Habari

Tanzania yajipanga kuingia soko la kimataifa uuzaji madini adimu duniani

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Tanzania iko mbioni kuwa mdau katika soko la kimataifa la madini muhimu kupitia ukuzaji uwezo wa kuchunguza na kusimamia madini yenye thamani

Read More
Habari

Mabaki ya mwili wa aliyepotea yapatikana

June 25, 2025 Admin

Rukwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua Sadick Sanga (52), kwa kumpiga na kitu kizito kichwani. Kamanda wa

Read More
Habari

MAONO YA MAVUNDE JENGO LA KUPUMZIKA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA YATIMIA.

June 25, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule ameeleza kuwa kutokana na kuimarika kwa huduma za afya ikiwemo ongezeko la

Read More
Habari

Dk Msonde: Jamii itumie wataalamu wa majenzi kwa makazi bora

June 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali imewataka wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi nchini kuhakikisha jamii inawatambua na kuwatumia katika masuala ya majenzi ili waweze kuwa na makazi

Read More
Habari

Punguzo la tozo kicheko kwa wauza madini BoT

June 25, 2025 Admin

Geita. Ni kicheko kwa wauza madini Benki Kuu ya Tanzania (BoT) hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Tume ya Madini kupunguza tozo kutoka asilimia saba

Read More
Habari

GGML Yajikita katika Usimamizi Endelevu wa Matumizi ya Ardhi

June 25, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu GEITA Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imesisitiza tena dhamira yake ya kutumia ardhi kwa njia endelevu na kulinda

Read More
Habari

WAZIRI JAFO ATOA MAAGIZO KUDHIBITI BIDHAA BANDIA NCHINI

June 25, 2025 Admin

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo,akizungumza wakati wa maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kudhibiti Bidhaa Bandia Duniani, yaliyoandaliwa na Tume ya Ushindani

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 38 39 40 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.