Dar es Salaam. Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kutokana na machafuko yaliyoibuka kati nchi hiyo na Iran, watarejea leo Tanzania, kwa ndege ya Ethiopian.
Month: June 2025

Dar es Salaam. Benki ya Maendeleo (TIB) imethibitisha tena dhamira yake ya kuyawezesha makampuni madogo na ya kati (SMEs) kama chachu ya ukuaji wa uchumi,

Unguja. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (ZDCEA) imesema baada ya kusambaratisha mitandao ya uhalifu na kuziba mianya ya uingizaji wa

Dar es Salaam. Tanzania iko mbioni kuwa mdau katika soko la kimataifa la madini muhimu kupitia ukuzaji uwezo wa kuchunguza na kusimamia madini yenye thamani

Rukwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua Sadick Sanga (52), kwa kumpiga na kitu kizito kichwani. Kamanda wa

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule ameeleza kuwa kutokana na kuimarika kwa huduma za afya ikiwemo ongezeko la

Dar es Salaam. Serikali imewataka wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi nchini kuhakikisha jamii inawatambua na kuwatumia katika masuala ya majenzi ili waweze kuwa na makazi

Geita. Ni kicheko kwa wauza madini Benki Kuu ya Tanzania (BoT) hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Tume ya Madini kupunguza tozo kutoka asilimia saba

Na Mwandishi Wetu GEITA Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imesisitiza tena dhamira yake ya kutumia ardhi kwa njia endelevu na kulinda

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo,akizungumza wakati wa maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kudhibiti Bidhaa Bandia Duniani, yaliyoandaliwa na Tume ya Ushindani