Watanzania 42 waliokwama Israel kurejea leo nchini

Dar es Salaam. Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kutokana na machafuko yaliyoibuka kati nchi hiyo na Iran, watarejea leo Tanzania, kwa ndege ya Ethiopian. Hatua hiyo inakuja kutokana na kuibuka  mgogoro kati ya Israel na Iran uliodumu kwa siku 12 tangu kuanza kwake Juni 13, 2025. Kabla ya jana Marekani kutangaza kusitisha vitha dhidi…

Read More

ZDCEA yabaini matumizi mbadala wa dawa za kulevya

Unguja. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (ZDCEA) imesema baada ya kusambaratisha mitandao ya uhalifu na kuziba mianya ya uingizaji wa dawa hizo nchini, kumeibuka biashara haramu na matumizi ya dawa tiba zenye asili ya kulevya, na kutishia usalama wa afya za watumiaji na jamii. Hayo yamebainika leo Jumatano, Juni 25,…

Read More

Mabaki ya mwili wa aliyepotea yapatikana

Rukwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua Sadick Sanga (52), kwa kumpiga na kitu kizito kichwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP) Shadrack Masija, amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Edward Yohana (3) na Shadrack Bernard (27), wote wakazi wa Kijiji…

Read More

Dk Msonde: Jamii itumie wataalamu wa majenzi kwa makazi bora

Dar es Salaam. Serikali imewataka wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi nchini kuhakikisha jamii inawatambua na kuwatumia katika masuala ya majenzi ili waweze kuwa na makazi bora. Pia, imetoa maagizo manne kwa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), ikiwemo kufanya tafiti za kina ili kuwatambua wahitimu wa taaluma hizo na kuhakikisha wanasajiliwa…

Read More

Punguzo la tozo kicheko kwa wauza madini BoT

Geita. Ni kicheko kwa wauza madini Benki Kuu ya Tanzania (BoT) hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Tume ya Madini kupunguza tozo kutoka asilimia saba zilizokuwa zikitozwa awali hadi kufikia asilimia 4 kwa wachimbaji wote wanaouza madini yao benki hiyo. Katibu tawala Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya…

Read More

WAZIRI JAFO ATOA MAAGIZO KUDHIBITI BIDHAA BANDIA NCHINI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo,akizungumza wakati wa maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kudhibiti Bidhaa Bandia Duniani, yaliyoandaliwa na Tume ya Ushindani (FCC),yaliyofanyika leo Juni 25,2025 jijini Dodoma. …… WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo,amewataka wafanyabiashara wote wanaozalisha bidhaa nchini pamoja na waagizaji kutoka nje kuhakikisha wanazingatia sheria ya alama…

Read More