Job, Diarra watwisha mabomu Yanga
NAHODHA wa Yanga, Dickson Job na kipa wa timu hiyo, Djigui Diarra wametishwa mabomu ya kikosi hicho baada ya kutangulia kuingia ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa kupasha misuli moto yaani ‘Warm-Up’. Hiyo ni kuelekea pambano la Dabi ya Kariakoo linalotarajiwa kupigwa leo Saa 11:00 jioni, ambapo ilishuhudiwa nyota hao wakitoka wenyewe wawili…