Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 41
Habari

Serikali yapiga marufuku matangazo mubashara maandamano ya Gen ‘Z’ Kenya

June 25, 2025 Admin

Nairobi.  Serikali imeamuru vyombo vyote vya habari vinavyoendesha vituo vya televisheni na redio nchini Kenya kusitisha urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya maandamano

Read More
Michezo

Rasmi Simba kuikabili Yanga Kwa Mkapa

June 25, 2025 Admin

Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa

Read More
Habari

KAMATI YA USHAURI MRADI WA EMA YAKUTANA DODOMA

June 25, 2025 Admin

……………. Kamati ya Ushauri ya Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Kitaasisi wa Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (EMA) imekutana kwa ajili ya kujadili

Read More
Habari

Hekaheka za Gen Z wakiandamana kuwakumbuka wenzao waliouawa Kenya

June 25, 2025 Admin

Kenya. Mapema asubuhi ya leo Jumatano 25, 2025 vijana wa Kenya maarufu kama GenZ wameingia barabarani kufanya maandamano ya amani ikiwa ni kumbukumbu ya vifo

Read More
Michezo

Kwa Mkapa ulinzi wake si mchezo

June 25, 2025 Admin

LICHA ya kutokuwa na vaibe kubwa la mashabiki kwa sasa, lakini hali ya usalama kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa utakaotumika kwa pambano la watani wa

Read More
Michezo

JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar 

June 25, 2025 Admin

TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24,

Read More
Michezo

Kwa Mkapa kumepoa | Mwanaspoti

June 25, 2025 Admin

IKIWA imesalia saa mbili tu kabla ya pambano kla Dabi ya Kariakoo lipigwe ikizikutanisha Simba na Yanga kuchezwa, lakini hali ya nje ya Uwanja wa

Read More
Habari

TANZANIA KUTOATHIRIKA MOJA KWA MOJA NA UMOJA WA BRICS.

June 25, 2025 Admin

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa Tanzania haitapata athari za moja kwa moja kutokana na mafanikio au changamoto zozote katika Umoja wa BRICS

Read More
Kimataifa

Ni nchi ngapi zinazoendelea zinaunda njia za uwajibikaji wa hali ya hewa katika SB62 – maswala ya ulimwengu

June 25, 2025 Admin

Mazungumzo yanayoendelea huko Bonn, Ujerumani, wakati wa SB62 inayoendelea. Mikopo: UNFCCC na Umar Manzoor Shah (Srinagar) Jumatano, Juni 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari

Read More
Habari

MABILIONI YA CSR KUTOKA BARRICK BULYANHULU KUTEKELEZA MIRADI YA ELIMU, AFYA NA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA MSALALA 2025

June 25, 2025 Admin

  Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala, Mibako Mabubu (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu,Charles Mhando

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 40 41 42 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.