Rasmi Simba kuikabili Yanga Kwa Mkapa

Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Yanga itakuwa mwenyeji. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Simba imeweka tangazo la mechi hiyo na kuandika ‘Tutakuwepo’. …

Read More

KAMATI YA USHAURI MRADI WA EMA YAKUTANA DODOMA

……………. Kamati ya Ushauri ya Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Kitaasisi wa Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (EMA) imekutana kwa ajili ya kujadili na kupitia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26 jijini Dodoma leo Juni 25, 2027.  Kikao hicho kimeongozwa na Bw. Wanjara Jandwa kutoka Kitengo cha Huduma za Sheria cha Baraza la…

Read More

Kwa Mkapa ulinzi wake si mchezo

LICHA ya kutokuwa na vaibe kubwa la mashabiki kwa sasa, lakini hali ya usalama kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa utakaotumika kwa pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga ni ya aina yake kutokana na polisi kuwa kila kona kuhakikisha hakutokei vurugu za aina yoyote. Kiporo hicho cha Ligi Kuu cha kufungia msimu kinapigwa kuanzia…

Read More

JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar 

TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24, 2025 jioni kwenye Uwanja Mao B, mjini Unguja, JKU Princess imejitengenezea rekodi ya kufunga mabao mengi katika mchezo mmoja wa ligi hiyo. Katika mchezo huo, JKU Queens ilionekana kutawala zaidi…

Read More

Kwa Mkapa kumepoa | Mwanaspoti

IKIWA imesalia saa mbili tu kabla ya pambano kla Dabi ya Kariakoo lipigwe ikizikutanisha Simba na Yanga kuchezwa, lakini hali ya nje ya Uwanja wa Benjamin Mkapa imepoa bado tofauti na inavyokuwa pambano la timu hizo. Mchezo huo namba 184 wa kukamilisha msimu wa 2024-2025 unapigwa leo kuanzia saa 11:00 jioni baada ya kuahirishwa mara…

Read More

TANZANIA KUTOATHIRIKA MOJA KWA MOJA NA UMOJA WA BRICS.

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa Tanzania haitapata athari za moja kwa moja kutokana na mafanikio au changamoto zozote katika Umoja wa BRICS (Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini), zinazoweza kutokea katika sekta ya kiuchumi na fedha hususani ya kujiondoa kwenye Dolarisation kwa kuwa sio nchi mwanachama wa BRICS. Hayo yalisemwa bungeni…

Read More

Ni nchi ngapi zinazoendelea zinaunda njia za uwajibikaji wa hali ya hewa katika SB62 – maswala ya ulimwengu

Mazungumzo yanayoendelea huko Bonn, Ujerumani, wakati wa SB62 inayoendelea. Mikopo: UNFCCC na Umar Manzoor Shah (Srinagar) Jumatano, Juni 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SRINAGAR, Jun 25 (IPS) – Chumba cha mkutano kilichojaa na nishati ya wataalam zaidi ya 300 wa kitaifa, washauri, na watekelezaji walijadili uwasilishaji wao wa Ripoti za kwanza za Uwazi…

Read More

MABILIONI YA CSR KUTOKA BARRICK BULYANHULU KUTEKELEZA MIRADI YA ELIMU, AFYA NA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA MSALALA 2025

  Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala, Mibako Mabubu (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu,Charles Mhando ,wengine pichani ni wafanyakazi wa halmashauri hiyo na Mgodi wa Bulyanhulu. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Msalala Leonard Mashaka Mabula (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja…

Read More