Gen ‘Z’ waliamsha tena Kenya, shule zafungwa Nairobi

Nairobi. Kenya bado hakujatulia. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya maelfu ya vijana nchini humo kuingia barabarani wakiandamana. Japo haijafahamika lengo la vijana nchini humo kuingia barabarani hata hivyo, taarifa zinadai azma ya vijana hao ni kupinga hali ya maisha inayoendelea pamoja na kutoridhishwa na utendaji kazi Serikali nchini humo likiwamo Bunge. …

Read More

ZNZ | Mwanaspoti

TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0. Mchezo huo uliopigwa Juni 24, 2025 jioni kwenye Uwanja Mao B, mjini Unguja, JKU Princess imejitengenezea rekodi ya kufunga mabao mengi katika mchezo mmoja wa ligi hiyo. Katika mchezo huo, JKU Queens ilionekana kutawala zaidi…

Read More

FYATU MFYATUZI: Tunaongopewa na kuongopeana

Kuna mambo yanachusha, kukera, kutisha, kukatisha tamaa, na kusikitisha ingawa mafyatu hawatishiki japo watishwa. Tuweke sawa. Leo, nitafyatua baadhi ya mambo tufanyayo au kufanyiwa mafyatu. Mafyatu gani wasiofyatuka wakafyatua wanaowafyatua tena kirejareja kama ufjujaji na upigaje wa njuluku ndefu? Hatufyati tunapopaswa kufyatuka tukafyatua? Kuna mambo yanapaswa kudurusiwa kwa utuo ili yafanyiwe kazi lau mafyatu wanusurike…

Read More