NIKWAMBIE MAMA: Uchaguzi si ngoma ya lelemama

Muda unakwenda bila kurudi nyuma. Hili ni jambo mahususi kwa Watanzania kukumbuka hasa katika kipindi hiki tunachouelekea uchaguzi mkuu. Uchaguzi si lelemama, ni mchakato unaoweza kutupatia viongozi au kutubadilishia kabisa maisha yetu kama Watanzania. Kuna baadhi ya majirani zetu wanaomba muda ungejirudia kabla hawajafanya chaguzi ili warekebishe mambo, lakini maziwa yakishamwagika huwa hayazoleki. Wenzetu wanajutia…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Trump alivyolamba matapishi yake

Hegemony ni nadharia ya dola moja kuongoza nyingine kisiasa, kiuchumi na kijeshi. Taifa moja linakuwa kiranja wa mataifa mengine duniani. China, Urusi na Marekani ndiyo wanaopambana kujisimika ukuu wa Hegemony. Kila mmoja anataka awe kiranja wa dunia kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Mipango ya dola moja kuwa kiranja wa dunia haijaanza leo. Karne 4 Kabla ya…

Read More

Mkeka wa Samia, kibano CCM vyakoleza moto majimboni

Dar es Salaam. Baada ya tetesi zilizodumu kitambo, hatimaye rasmi viongozi wa Serikali waliohusishwa na nia za kuutaka ubunge katika majimbo mbalimbali, wameondolewa kwenye nafasi zao, huku wadau wa siasa wakisema, uamuzi huo umelenga kuweka mizania sawa miongoni mwa wagombea. Hatua ya kuondolewa kwa viongozi hao, ambayo inakuja zikiwa zimesalia siku tano kabla ya Chama…

Read More

Tusiruhusu tena Bunge lisilo na kambi rasmi ya upinzani

Bunge la 12 linakaribia kuvunjwa hivi karibuni. Hii ni makala ya kuwaomba Watanzania tusiruhusu tena Bunge lisilo na kambi rasmi ya upinzani, kama ilivyokuwa kwa Bunge hili la 12. Kutokuwepo kwa kambi thabiti ya upinzani kumelifanya Bunge hili likose hoja kinzani zenye mashiko na mvuto masikioni mwa wasikilizaji na watazamaji. Hata ikitokea kwamba Watanzania, kwa…

Read More

Wajibu wa watanzania tunapoelekea Oktoba, 2025

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 unakaribia, na taifa la Tanzania linaingia kwenye kipindi muhimu cha mchakato wa kidemokrasia. Kwa Watanzania, huu si wakati wa kawaida tu, bali ni wakati wa kupima ukomavu wa siasa, uimara wa vyama vya siasa sambamba na taasisi mbalimbali na nafasi ya raia katika kuchagiza mustakabali wa taifa. Wataalamu wa siasa…

Read More

ZEC msifumbie macho malalamiko, fanyieni kazi

Kadri siku zinavyozidi kusogea kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa Oktoba mwaka huu, hali ya kisiasa Zanzibar inaendelea kujaa maswali na sintofahamu. Kama ilivyokuwa katika baadhi ya chaguzi zilizopita tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi, kuna viashiria vya dosari na ukosefu wa uwazi katika hatua mbalimbali za maandalizi ya uchaguzi huo. Baadhi ya…

Read More

Baba arejea nyumbani baada ya miaka 60 akiwa mikono mitupu

Nairobi. Boniface Muhandia (99) ndiyo jina linalojadiliwa nchini Kenya kwa sasa baada ya mzee huyo aliyeondoka nyumbani kwake Kijiji cha Eshisari, Mumias Mashariki, Kaunti ya Kakamega kwenda nchini Uganda kutafuta maisha, kurejea akiwa mikono mitupu. Tovuti ya Taifa Leo imeripoti jana kuwa Muhandia ambaye ametimiza miaka 60 bila kuiona familia yake wala kujua kinachoendelea, aliondoka nyumbani…

Read More

ZAIDI YA WATU 700 KUPATIWA MATIBABU YA MACHO RUNGWE.

OR – TAMISEMI Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Dkt.Diocles Ngaiza amesema zaidi ya wagonjwa 700 watapatiwa matibabu ya macho katika kambi ya matibabu ya wagonjwa wenye Mtoto wa jicho kwa siku Saba yanayoendelea katika Halmashauri hiyo. Dkt. Ngaiza ameyasema hayo wakati alipotembelea kambi hiyo itakayohudumu kwa siku saba ikiwa imeandaliawa na Taasisi…

Read More