Wananchi wanaoishi ndani ya leseni ya mgodi waandamana wakitaka kujua hatima yao

Geita. Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya Katomaini, Magema, Mzingamo na Ikumbayaga, vilivyoko katika Mtaa wa Nyamalembo, Manispaa ya Geita, wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita wakitaka kujua lini maeneo yao yatafanyiwa tathmini na kulipwa fidia ili kuruhusu shughuli za uchimbaji madini kuendelea katika maeneo hayo. Akizungumza kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti…

Read More

WATANZANIA MATABAKA YOTE WATAKIWA KUUNGANA KUWA WAHIFADHI ILI KUTUNZA MAZINGIRA

Watanzania maarufu na wasio maarufu waliungana jijini Dar es Salaam Jumanne kusisitiza faida muhimu za mazingira na umuhimu wa juhudi za pamoja za uhifadhi. Tukio hilo lilisisitiza kwamba bila kujali sisi ni nani au tunatoka wapi, sote tunahusiana na mazingira na ni wajibu wetu kuyatunza. Mwimbaji na mtangazaji wa Televisheni Nakaaya Sumari, waimbaji wawili maarufu…

Read More

RAIS DKT. SAMIA AWASILI MAPUTO NCHINI MSUMBIJI, KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA JAMHURI YA MSUMBIJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Jamhuri ya Msumbiji Balozi Maria Manuela Dos Santos Lucas mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUWASHIRIKISHA WADAU WA ELIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA SEKTA YA ELIMU NCHINI- DKT. SHINDIKA

Na OR – TAMISEMI, Arusha Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Wadau wa Sekta ya Elimu nchini ili kuhakikisha changamoto zinazoikabili Sekta ya elimu zinatatuliwa kwa kufanya maboresho mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 24 Juni, 2025 Jijini Arusha katika ukumbi wa Kibo Palace Hotel na Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu na Usimamizi wa Elimu Ofisi…

Read More

Morogoro yapunguza idadi wagonjwa wa rufaa Muhimbili

Morogoro. Idadi ya wagonjwa wanaopewa rufaa kutoka Hospitali ya Rufaa Morogoro kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili na nyingine za kanda imepungua kutoka wastani ya wagonjwa 80 hadi kufikia wasiozidi 40 kwa mwezi. Hiyo imetajwa kutokana na maboresho ya miundombinu, vifaa tiba, vipimo vya kisasa na uwepo wa madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali hospitalini hapo. Hayo…

Read More

Wanaonyanyasa wanawake wajane, kufanya ukatili jinsia waonywa

Mbeya. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekemea vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji vinavyotendeka dhidi ya wanawake wajane nchini. Onyo hili limekuja kufuatia kilio cha wajane kwa Serikali, wakidai kuingilia kati kwa dharura ili kudhibiti vitendo hivyo vinavyoathiri kisaikolojia na kuwatatiza kupata msaada wa kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi wa…

Read More