WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendela kuvuna wanachama wapya kutoka katika vyama vya upinzani, hali ambayo inaongeza idadi ya wanachama katika chama hicho ambao ni jeshi na moja ya karata muhimu katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla akiwa katika ziara…

Read More

NAIBU WAZIRI MKUU DK.BITEKO ASISITIZA SERIKALI KUENDELEA KUPAMBANA NA UDUMAVU,UZITO KUPITA KIASI

NAIBU Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Doto Mashaka Biteko, amesema kuna uhusiano mkubwa kati ya kilimo na lishe huku akisisitiza  kilimo chenye mwelekeo wa lishe kinaweza kupunguza utapiamlo na magonjwa yatokanayo na lishe duni. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati akifungua Wiki ya Mkutano wa Kilimo, Lishe na Afya (ANH2025) ambapo…

Read More

Makomandoo Yanga, Simba  mita mia kwa Mkapa 

Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika Uwanja wa  Benjamin Mkapa, huku makomandoo wa klabu za Yanga na Simba na  wakilazimika kukaa umbali wa mita mia kutoka katika mageti ya uwanja huo. Yanga na Simba zitamalizana kesho kwenye uwanja huo kwenye mchezo wa kiporo namba 184 wa Ligi Kuu Bara, unaotarajiwa kupigwa kuanzia saa 11 jioni….

Read More

Makalla ataja sababu ya kusitisha ziara na mikutano

Dodoma. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amosi Makalla, amesema kwamba kusitisha ziara, mikutano na makongamano ni hatua ya kuandaa vizuri mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge na udiwani ndani ya chama hicho. Ufafanuzi wa Makalla unakuja siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi, kutoa taarifa ya kusitisha ziara, semina,…

Read More

Serikali kuboresha skimu mpya za umwagiliaji Iringa

Iringa. Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imezindua mradi wa ujenzi na ukarabati wa skimu za umwagiliaji mkoani Iringa, ukilenga kuongeza tija ya kilimo kwa wakulima wa vijiji vya Kata ya Ilolompya unaogharimu Sh33.8 bilioni. Vijiji vya kata hiyo vilivyofikiwa na mradi ni  Luganga, Magozi, Ukwega na Ilolompya unaolenga kunufaisha wakulima 8,600 ndani ya…

Read More

Licha ya kujitolea kwa nguvu, SDGs inaendelea kwa kushangaza kufuatilia kwa miaka 10 Ripoti ya UN inayopatikana – Maswala ya Ulimwenguni

Mabwawa makubwa ya akiba ya ulimwengu lazima yatirike kwa kiwango kikubwa zaidi ambapo inahitajika sana – kwa watu walio katika mazingira magumu na masikini zaidi ndani ya nchi zote. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Jumanne, Juni 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Jun 24 (IPS) – Ufini sasa ni safu ya…

Read More