Zanzibar kuwakutanisha wataalamu wa mafuta na gesi Afrika

Unguja. Wakati Zanzibar ikiendeleza jitihada za kuboresha sekta ya gesi na petroli, unatarajiwa kufanyika mkutano mkubwa utakaowakutanisha wataalamu wa sekta hiyo kutoka ndani na nje ya Afrika. Mkutano huo utajadili mbinu mpya na matumizi ya teknolojia ya kisasa katika kuendeleza rasilimali hizo muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi. Tayari Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia…

Read More

Mbinga Bila Madiwani: DC Makori Awataka Watumishi Kufanya Kazi kwa Uadilifu.

Mbinga Bila Madiwani: DC Makori Awataka Watumishi Kufanya Kazi kwa Uadilifu. Mbinga Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Kisare Makori,amewataka watumishi Wilayani humo kuhakikisha wanafanya kazi kwa kujituma wakati huu ambao hakuna Madiwani. Kisare ametoa wito huo mwishoni mwa wiki wakati akizungumza na watumishi na madiwani waliomaliza muda wao wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga…

Read More

Dk Mwigulu: Watanzania acheni kujadili kiwango cha deni, angalieni mafanikio

Dodoma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amewahimiza Watanzania kuacha kujikita katika mijadala kuhusu kiwango cha deni la Taifa badala waelekeze kwenye matumizi ya fedha zilizokopwa na mafanikio yaliyopatikana. Hadi sasa deni la Serikali linatajwa kufikia Sh107.7 trilioni kiwango ambacho baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wanakitaja kuwa cha juu. Akijibu hoja za wabunge  waliochangia kuhusu…

Read More

Wanaowania uongozi TFF waanikwa, sita wautaka urais

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya awali ya waliochukua na kurudisha fomu kuomba uongozi katika Shirikisho hilo kwa ajili ya usaili utakaofanyika Julai 2 na 3, 2025 jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa leo Juni 24, 2025 na Makamu Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi TFF, Wakili Benjamin Kalume, imetaja wagombea…

Read More

Vitanda vitano vyatolewa kusaidia tiba ya saratani Bugando

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imepatiwa msaada wa vitanda vitano maalumu kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa saratani. Vitanda hivyo vyenye thamani ya Sh64 milioni vimetolewa siku chache tangu Hospitali ya Bugando itoe taarifa ya kuwepo ongezeko la wagonjwa wa saratani katika kanda hiyo. Akizungumza baada ya kukabidhiwa vitanda hivyo leo Jumanne,…

Read More