Tuwaombee… Dabi imeshika hatma zao

JUNI 25 kinapigwa Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Simba mchezo ambao ulipiga kalenda, lakini sasa hakuna kipengele tena ni lazima kiwake. Mchezo huo weka mbali mambo ya ugumu ulionao, lakini safari hii unakwenda kutoa picha halisi kwamba nani atakuwa bingwa wa msimu huu. …

Read More

Gambo, Makonda uso kwa uso mbele ya Katibu Mkuu CCM

Arusha. Katika kile kinachoonekana kama juhudi za viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushusha mvutano wa kisiasa kati ya Mbunge wa sasa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ambaye anatajwa kuweka nia yake kulitwa jimbo hilo. Mapema leo, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel…

Read More

Maureen Sizya apika watu Sauzi

MTANZANIA Maureen Sizya ni mmoja wa makocha wa kikapu katika jopo la mradi ya BAL4HER nchini Afrika Kusini, alikoungana na wakufunzi mahiri kutoka Amerika, Afrika Kusini na Gabon kufundisha umahiri wa mchezo huo. Akizungumza na Mwanasposti baada kurejea nchini juzi, Maureen alisema BAL4HER ni mpango unaolenga kuibua, kuendeleza na kuwawezesha wanawake wa Kiafrika katika nyanja…

Read More

Yanga yashusha kiungo, yamficha kambini

YANGA wakati inapiga hesabu za kukutana na Simba, imeendelea na akili ya kukiboresha kikosi na kule kambini kuna mido wa kazi amefichwa akijifua taratibu. Kiungo huyo mchezeshaji ambaye yupo kambi ya Yanga ni Mohamed Doumbia raia wa Ivory Coast ambaye anaendelea kujifua na wenzake. Taarifa kutoka Yanga ambazo Mwanaspoti limejiridhisha ni, Doumbia ana wiki moja…

Read More

Kikoti yeye na Coastal Union

KIUNGO Lucas Kikoti ameweka wazi kuwa, licha ya mkataba wake kumalizika rasmi mwishoni mwa msimu huu, moyo wake bado uko Coastal Union na hiyo ndiyo sababu anataka kuipa kipaumbele klabu hiyo kabla hajafanya uamuzi mwingine kuhusu mustakabali wake. Kikoti amesema anathamini kipindi alichokaa ndani ya kikosi cha Wagosi wa Kaya, haoni sababu ya kuwahi kufanya…

Read More

Ponda ajitosa ubunge Temeke | Mwananchi

Dar es Salaam. Hatimaye Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Temeke kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, huku akieleza sababu ya kuchagua eneo hilo na siyo kwingine. Sheikh Ponda, kada mpya wa chama hicho, aliyejiunga Juni 5, 2025 baada ya kuchukua fomu hiyo,…

Read More

Huu hapa ujumbe kwa wastaafu

Dar es Salaam. Katika juhudi za kubadili mtazamo kuhusu nafasi ya wastaafu katika jamii, Taasisi ya Philemon Foundation imewakutanisha wastaafu kutoka maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kujadili namna ya kutumia maarifa na uzoefu wao kuendelea kuchangia maendeleo ya kijamii, huku wakiishi maisha yenye furaha na heshima. Mkutano huo umewakutanisha wastaafu waliowahi kufanya kazi kwenye…

Read More