MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA WATUMISHI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ITALIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Watumishi mbalimbali wa Balozi wa Tanzania nchini Italia wakati akiwasili katika Ubalozi huo wakati akiwa ziarani kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Ubia wa Maendeleo kati ya Afrika na Serikali…