Miloud: Tupo siriazi, tunataka ushindi

Kocha wa Yanga, Hamdi Miloud amesema kesho timu yake ipo tayari kwa mechi hiyo kubwa na kwamba wako siriazi ili kushinda mchezo huo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kabla ya mechi, Miloud amesema timu yake baada ya kuahirishwa mara mbili kwa mchezo huo haikutoka mchezoni kwani waliendelea na maandalizi. Mchezo huo wa…

Read More

Yanga yaibuka mkutanoni, Simba yasikilizia

Wakati mechi ya Dabi ya Kariakoo ikitarajiwa kupigwa kesho, Yanga imefanya mkutano na waandishi wa habari, huku Simba iliyotakiwa kufika kwenye mkutano haikutokea. Simba itakuwa mgeni wa Yanga kwenye mchezo huo wa kiporo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 11 jioni. Kabla ya mchezo huo timu…

Read More

Marekani yasitisha mapigano na Iran, watano wauawa Israel

Beersheba. Rais Donald Trump ametangaza kusitisha mapigano dhidi ya Iran, huku Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akidai kuwa malengo yao dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran yametimia. Hata hivyo Israel imesisitiza itajibu kwa namna yoyote iwapo kutatokea uvunjaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano. Shirika la Habari la Associated Press limeripoti kuwa, uamuzi huo…

Read More

Kaa chonjo na nguo zenye nembo ya bangi

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo ametangaza kuwa Serikali itaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu wanaovaa mavazi yenye picha ama alama za bangi. Akizungumza jana mjini Dodoma wakati wa uwasilishaji wa Ripoti ya Kitaifa ya Dawa za Kulevya ya mwaka 2024 jana Juni 23,…

Read More

Mpango wa kuondoa makazi duni waja

Dodoma. Serikali imeanzisha programu maalumu ya uendelezaji upya maeneo chakavu katika miji, ili kuondoa changamoto mbalimbali, ikiwemo ukosefu wa huduma za msingi. Kupitia programu hiyo, jumla ya maeneo 111 yenye ukubwa wa hekta 24,309.35 yameainishwa katika mikoa 24 kwa ajili ya kuendelezwa upya, ili yawe na tija kiuchumi na kijamii. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba…

Read More

Saa tano ngumu ndani ya mwendokasi

Dar es Salaam. Kama inavyosemwa na Waswahili, ukitaka kujua utamu wa ngoma sharti uingie uicheze, ndivyo ilivyo hata unapotaka kujua karaha za usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, sharti upande. Huduma za usafiri wa mabasi hayo, zilizoanza mwaka 2016, zikibeba matumaini ya kukoma kwa msongamano wa magari katika jiji hilo, lakini sasa yamegeuka…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi wa MaDC, wengine awahamisha

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya mbalimbali nchini. Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Juni 23, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka, Rais Samia amemteua Estomin Kyando kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilolo. Pia, Rais Samia amemteua, Ayubu Sebabile (Muheza), Thecla Mkuchika (Butiama), Angelina Lubela (Serengeti), Maulid Dotto (Mvomero), Rukia…

Read More

Janga la Kiingereza vyuoni, Waziri ataja mbinu

Ni balaa. Ndivyo unavyoweza kueleza kuhusu hali ya umilisi wa lugha ya Kiingereza kwa wanafunzi wengi wa vyuo vikuu nchini. Hali hii inaweza kuwa ishara tosha kwa watunga sera, kutazama kwa jicho la pili ufanisi wa mifumo ya ufundishaji na ujifunzaji wa lugha hii katika ngazi mbalimbali za elimu. Wakati Kiswahili kikiwa na ahueni pengine…

Read More

Kama vyuo vyetu havina lengo hili, tumefeli

Arusha. Kwa takriban miaka 50 nimefundisha katika vyuo vikuu hapa Tanzania, Kenya, Marekani na Finland. Katika safari hii, nimekuwa nikijenga hoja hasa katika somo la falsafa na maadili,na kufanya kufanya utafiti mwingi na kusoma mawazo ya wataalamu mbalimbali, na hata kubadilishana mawazo na watu wa kawaida kabisa. Kote humo  nimekuwa najiuliza: hivi elimu ya juu…

Read More