TANI 2302.37 ZA BANGI ZAKAMATWA
……….. Na Ester Maile Dodoma Bangi imeendelea kuwa dawa ya kulevya iliyokamatwa nchini kwa kiwango kikubwa kwa mwaka 2024 ikiwa ni jumla ya tani 2,302.37. Hayo yameelezwa mbele ya waandishi wa Habari jijini Dodoma na William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) “leo June 23,2025 amesema kuwa”kati ya hizo,…