CCM yatangaza kibano kingine kwa wagombea

Dar es Salaam. Kibano kingine kimewashukia wanaowania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), baada ya chama hicho kutangaza kusitisha matukio yanayowahusisha wajumbe wanaopiga kura za maoni. Matukio yaliyotangazwa kusitishwa na chama hicho ni ziara, semina na makongamano yanayowahusisha wajumbe wa vikao vinavyowapigia kura za maoni wagombea. Kibano hicho kinaongeza makali kwa wagombea…

Read More

Sh63.2 bilioni kuchochea uchumi jumuishi Tanzania

Dar es Salaam. Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) imesaini mikataba ya ufadhili yenye thamani ya Sh63.2 bilioni na taasisi tatu za kifedha nchini, ikiwa ni hatua muhimu inayolenga kuchochea ukuaji jumuishi wa uchumi, kupunguza pengo la makazi na kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wa kati (SMEs). Mikataba hiyo ilisainiwa leo Jumatatu, Juni 23, 2025,…

Read More

Makalla ataja mambo sita watakayofanya uchaguzi mkuu 2025

Mpwapwa. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameainisha mambo sita yatakayofanyika katika uchaguzi mkuu ikiwemo Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumtangaza mgombea atakayeshinda kwa haki. Mambo mengine ni utekelezaji wa Ilani ya CCM, kupeleka wagombea wenye sifa, kuheshimiana kwa kutumia utaratibu wa 4R, kutokuwa na kampeni…

Read More

Wasira arusha zigo kwa wabunge wataka majimbo

Mwanza. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu si tukio la ajali, hivyo wabunge ambao hawakuwa karibu na wananchi wakati wa uongozi wao hawapaswi kumlaumu mtu yeyote. Amesema nafasi ya ubunge hupatikana kwa kujenga uhusiano mzuri na wananchi, huku akiwashauri wanachama wa CCM wanaotaka…

Read More

Bangi yaendelea kuwa tishio katika dawa za kulevya

Dodoma. Bangi imeendelea kuwa tishio kati ya dawa kulevya ambazo zimekuwa zikikamatwa na Mamlaka ya Udhibiti wa dawa za kulevya.Katika kipindi cha 2024, tani 2,307.37 zilikamatwa na kati ya hizo, tani 2,303.2 ni bangi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi ametoa takwimu hizo leo Jumatatu Juni 23, 2025…

Read More

Michuano ya CDF CUP Kuanza Kutimua Vumbi Julai 2

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stergomena Lawrence Tax (Mb) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya kombe la Mkuu wa Majeshi Tanzania (CDF CUP) 2025. Lengo kuu la mashindano hayo limetajwa kuwa ni kujenga ushirikiano, upendo, undugu na uzalendo miongoni mwa wanajeshi na raia. Mashindano hayo yanatarajiwa kuzinduliwa rasmi Julai, 2,…

Read More

Wataalamu wasio na kampuni wapigiwa chapuo

Dar es Salaam. Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), ipo katika hatua za mwisho za kutekeleza kanuni ya mwaka 2024, itakayoruhusu wataalamu wa fani hiyo wasio na kampuni, kusimamia miradi ya ujenzi kwa kuzingatia miongozo itakayotolewa. Awali, sheria ilikuwa inamtaka msimamizi wa mradi awe na kampuni au atoke kwenye kampuni, lakini…

Read More