Profesa Kabudi ataja matokeo tarajiwa Daraja la JP Magufuli

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema daraja la JP Magufuli linakwenda kuimarisha diplomasia ya kiuchumi na kindugu pamoja na kuendeleza sifa ya Tanzania kuwa lango la nchi nyingine za Afrika Mashariki na kati. Amesema katika diplomasia, daraja hilo linaloongoza kwa urefu Afrika Mashariki ni kiungo katika kukuza…

Read More

Rekodi tatu mwamuzi Dabi ya Kariakoo

MCHEZO wa Dabi ya Kariakoo umeingia kwenye historia mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwashusha waamuzi kutoka Misri na Somalia, huku rekodi za mwamuzi wa kati zikiwa tishio. Taarifa iliyotolewa na TPLB jana ni, mchezo huo utaamuliwa na Amin Omar atakayekuwa mwamuzi wa kati, akisaidiwa na Mahmoud El Regal, Samir Mohamed, huku…

Read More

Watoto wa Afghanistan katika hitaji kubwa la kuongeza kasi katika hatua za lishe – maswala ya ulimwengu

Huko Afghanistan, mchungaji anaongoza kundi lake kupitia ardhi tasa. Mikopo: Unsplash/Mustafa na Maximilian Malawista (New York) Jumatatu, Juni 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW YORK, Jun 23 (IPS) – Afghanistan ni mzigo na moja ya viwango vya juu vya kupoteza watoto ulimwenguni, na watoto milioni 3.5 chini ya miaka mitano wanaugua aina ya…

Read More

Rais Mwinyi aanika mafanikio miaka mitano ya SMZ, baraza kuvunjwa Agosti 13

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amehutubia Baraza la 10 la Wawakilishi akibainisha mafanikio yaliyopatikana katika sekta mbalimbali kwa miaka mitano akisema uwekezaji uliofanyika umeleta maendeleo na kuimarisha uchumi. Dk Mwinyi amehutubia baraza hilo leo Jumatatu  Juni 23, 2025 katika ukumbi wa Baraza Chukwani huku akitangaza kulivunja Agosti 13, 2025 kupitia gazeti la Serikali….

Read More

Mifumo dhaifu ya Tehama chanzo cha vihatarishi vya taarifa binafsi, faragha

Arusha. Wakati Serikali ikijizatiti katika matumizi ya teknolojia, matumizi ya mifumo ya Tehama isiyo salama au isiyo na ubora unaohitajika yanatajwa kuwa chanzo cha vihatarishi katika ulinzi wa taarifa binafsi. Aidha, wakati Tanzania ikielekea kwenye uchumi wa kidijitali, imetakiwa kuhakikisha kuna uaminifu kati ya mtumiaji wa teknolojia na mtoa huduma katika usalama wa kimtandao. Hayo yameelezwa…

Read More