Watahadharishwa kuchunga ndimi zao kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimewaonya wanasiasa kuepuka mihemko kwenye majukwaa katika kipindi hiki ikiwa imebaki miezi minne kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Hatua hiyo imetajwa kusababisha uvunjifu wa amani na kuwagawa Watanzania wenye nia njema na Serikali yao. Hayo yamebainishwa leo Juni 23, 2025 na Mjumbe wa Halmashauri Kuu…

Read More

Askari waliomuua muuza madini wahukumiwa kunyongwa

Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara, imewahukumu kunyongwa hadi kufa maofisa wawili wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamisi (25), mkazi wa Kijiji cha Ruponda, Wilaya ya Nachingwea, Mkoa wa Lindi. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Juni 23, 2025 na Mahakama Kuu Kanda ya…

Read More

SERIKALI KUANDAA MIPANGO 2,480 YA MATUMIZI BORA YA ARDHI KATIKA KIOINDI CHA MIAMI 4 ,VIJIJI 4,679 KATI YA VIJIJI 12,333 NCBI NZIMA

Na Vero Ignatus,Arusha SERIKALI imeweza kuandaa jumla ya mipango ya matumizi bora ya ardhi 2,480 katika kipindi cha miaka minne ambapo vijiji 4,679 vimewekwa katika mipango hiyo kati ya vijiji 12,333 nchi nzima.  Hayo yamesemwa Leo June 23 2025 Jijini Arusha na Katibu Mkuu  Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi,Mhandisi Anthony Sanga…

Read More

Bodaboda auawa kwa kuchomwa kisu ikidaiwa kugombania abiria

Shinyanga. Kijana mmoja, mkazi wa Mtaa wa Tambukareli, manispaa ya Shinyanga, Bernado Massanja (24) ameuawa kwa kuchomwa kisu maeneo ya kifuani, upande wa kushoto, wakati wakigombania abiria. Kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi kama bodaboda, anadaiwa kuuawa na mwenzake wakati wakigombania abiria ili kujiingizia kipato. Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta mhusika katika tukio hilo. Kamanda wa…

Read More

Dakika 45 za moto kwa Seleman Mwalimu

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amecheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya Juventus ya Italia, huku akikiri ni heshima kubwa kwake licha ya kupoteza. Mtanzania huyo aliyejiunga na Wydad Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, aliingia kipindi cha pili…

Read More