Ushindi Mkubwa Upo Mechi ya Seattle Sounders vs PSG

NI Jumatatu nzuri kabisa ya mwezi Juni ambayo wewe kama mteja wa Meridianbet hauna haja ya kujiuliza utapiga pesa wapi. Sehemu ni moja tuu napo ni Meridianbet ndani ya promosheni yao inayoendelea ya kubashiri na GG&3+ na kushinda mara mbili. Bado mashindano ya Kombe la Dunia ngazi ya vilabu yanaendelea huko Marekani ambapo tayari timu…

Read More

ATE yajitosa kukuza ujuzi ajira zenye staha

Dar es Salaam. Katika kukabiliana na pengo la ujuzi, Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kwa kushirikiana na Chama cha Wafanyakazi Tanzania (Tucta) na Muungano wa Soko la Ajira la Denmark, imeweka mkakati madhubuti wa ukuzaji wa ujuzi kwenye ajira zenye staha. Mkakati huo umebainishwa katika kongamano la waajiri lililofanyika Juni 22, 2025 likitanguliwa na mkutano…

Read More

Mwendokasi kuajiri wafanyakazi 1,000 | Mwananchi

Dar es Salaam. Kampuni ya Mofat Company Limited, iliyopewa zabuni ya kuendesha mradi wa mabasi yaendayo haraka awamu ya pili, inatarajia kutoa ajira zaidi ya 1,000. Kampuni hiyo ya Kitanzania imeingia mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) ili kuendesha mradi huo wa awamu ya pili kuanzia Gerezani hadi Mbagala. Ujenzi…

Read More