Waliopoteza tiketi uhakika Kwa Mkapa

KIONGOZI wa N-Card Catherine Chami amewapa uhakika mashabiki waliopoteza tiketi zao ambazo walizikata kwa ajili ya mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba iliyotakiwa kuchezwa Machi 8, 2025 bado wana nafasi ya kuingia uwanjani Benjamin Mkapa katika tarehe mpya iliyopangwa ya mechi hiyo Juni 25. Akizungumza na waandishi wa habari alisema kuwa,…

Read More

Asaka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro akipiga danadana

WAKATI wengine hupanda Mlima Kilimanjaro kwa kutembea kawaida, staa wa danadana kutoka Sweden, Emil Jylhänlahti, ameanza safari ya kuupanda mlima huo maarufu duniani huku akichezea mpira kwa danadana. Staa huyo wa dunia anayetikisa dunia, Emil Jylhanlahti, sasa amepewa majukumu mapya kuwa mkuu wa programu ya soka kwa watoto wa Norrby IF nchini Sweden. Nyota huyo…

Read More

WANAFUNZI VYUO VIKUU MWANZA WAJENGEWA UWEZO WA KUTAMBUA FURSA KUPITIA KONGAMANO LA IAESEC KWA UDHAMINI WA BARRICK

  Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Augustino(SAUT) Mwanza anayeshughulikia Taaluma Prof. Hosea Rwegoshora, akizungumza na wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Mwanza kwenye kongamano la kuwajengea uwezo, kuzitambua fursa na kuzifanyia kazi lililoandaliwa na AIESEC na kudhaminiwa na Barrick. Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Augustino(SAUT) Mwanza anayeshughulikia Taaluma Prof. Hosea Rwegoshora, akizungumza…

Read More

HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAVUKA LENGO MIAKA MITANO

Halmashauri ya Wilaya ya Geita, inajivunia kukusanya mapato yanayofikia zaidi ya shilingi bilioni 10 mpaka hadi kufikia juni 20 2025 ambapo inatafsiriwa sawa na kuvuka lengo katika ukusanyaji wa mapato katika halmashauri hiyo. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Karia Rajabu Magaro ameyasema hayo wakati wa kikao cha kuvunja baraza la madiwani ambapo amesema kuwa mapato…

Read More