PAREDI la Yanga limeibua shangwe saa chache baada ya kuingia mtaa wa Karume shangwe na ongezeko la mashabiki wakiusindikiza msafara limetawala. Yanga imewasili Karume 16:00
Month: June 2025

Dar es Salaam. Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi amejipanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyoingia kwenye Uchaguzi Mkuu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Ridhwan Kikwete Nimeongoza Uzinduzi wa Maonyesho ya Ajira ya Nne (4) ya

PAREDI la Yanga limesimamisha mwendokasi eneo la Msimbazi baada ya kusimama kwa muda wakati gari iliyobeba mataji, wachezaji na viongozi wa timu hiyo lilipofika eneo

Arusha. Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi amesema hatakubali kikwazo chochote kitakachozuia maendeleo ya wananchi wa mkoa huo, huku akisisitiza kwamba ajenda yake

Jumla ya wagombea kumi wamechukua fomu za kugombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, akiwemo mbunge aliyemaliza muda wake, Silvestry Koka, katika kipindi cha siku

Iringa. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amemkabidhi rasmi ofisi Benjamin Sitta ambaye ni

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na na Viongozi mbalimbali kabla ya kuanza

Moshi. Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya magari mawili yaliyogongana uso kwa uso Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro imeongezeka na kufikia 39, huku mabaki