Karume yafunika, mashabiki wapagawa | Mwanaspoti

PAREDI la Yanga limeibua shangwe saa chache baada ya kuingia mtaa wa Karume shangwe na ongezeko la mashabiki wakiusindikiza msafara limetawala. Yanga imewasili Karume 16:00 na kusababisha msongamano wa watu barabarani huku magari yakishindwa kuendelea na safari. Gari hiyo iliyobeba wachezaji, viongozi na mataji ya timu hiyo msimu huu ilisimama kwa muda Karume na kuwapungia…

Read More

Jaji Mutungi kuwafunda viongozi vyama vya siasa, INEC…

Dar es Salaam. Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi amejipanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyoingia kwenye Uchaguzi Mkuu kuwapatia hadidu za rejea za kuzingatia ili wasiingie kwenye mtego wa kuvunja sheria za nchi. Msajili ametoa kauli hiyo katika kipindi ambacho joto la uchaguzi mkuu linazidi kupanda ndani ya…

Read More

Kihongosi: Sitaruhusu kikwazo cha kuzuia maendeleo Arusha

Arusha. Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi amesema hatakubali kikwazo chochote kitakachozuia maendeleo ya wananchi wa mkoa huo, huku akisisitiza kwamba ajenda yake kuu ni kujenga imani ya wananchi kwa Serikali na kuharakisha maendeleo. Akizungumza leo Jumatatu Juni 30, 2025, wakati wa makabidhiano ya ofisi kati yake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo,…

Read More

RC Kheri James amwapisha Sitta, amkabidhi ofisi

‎Iringa. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amemkabidhi rasmi ofisi Benjamin Sitta ambaye ni mkuu mpya wa wilaya hiyo. ‎Makabidhiano hayo yamefanyika mchana wa Juni 30, 2025 katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Iringa iliyopo Mawelewele, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, yakihusisha viongozi…

Read More