Hamdi awataja Chama, Pacome | Mwanaspoti
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi, kwa sasa ameanza hesabu kwa ajili ya Dabi ya Kariakoo, huku akiwataja viungo washambuliaji wa timu hiyo ambao wameifanya Yanga kuwa imara hadi sasa licha ya kuondokewa na Stephane Aziz KI aliyepo Wydad Casablanca ya Morocco. Kocha huyo aliyetua katikati ya msimu akitokea Singida Black Stars ili kuchukua nafasi…