Hamdi awataja Chama, Pacome | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi, kwa sasa ameanza hesabu kwa ajili ya Dabi ya Kariakoo, huku akiwataja viungo washambuliaji wa timu hiyo ambao wameifanya Yanga kuwa imara hadi sasa licha ya kuondokewa na Stephane Aziz KI aliyepo Wydad Casablanca ya Morocco. Kocha huyo aliyetua katikati ya msimu akitokea Singida Black Stars ili kuchukua nafasi…

Read More

Kisa Simba, Dube aongezewa dozi

YANGA imemalizana na Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara na sasa inajiandaa kwa mechi ijayo ya kufungia msimu dhidi ya Simba inayopigwa keshokutwa Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo ya Dabi ya Kariakoo iliyoahirishwa mara mbili kutoka Machi 8 na Juni 15, imepangwa kupigwa kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Kombe litakuwa…

Read More

Yanga ishindwe yenyewe! | Mwanaspoti

KATIKA maboresho ya kikosi cha Yanga kwa ajuili ya msimu ujao wa 2025-2026, Yanga imepanga kufanya usajili wa kuziba maeneo machache ikiwemo eneo la beki wa kati. Kwa sasa eneo hilo lina vitasa wa maana, Ibrahim Bacca, Dickson Job na nahodha, Bakar Mwamnyeto, lakini benchi la ufundi limepiga hesabu ya kuongeza kifaa kingine kipya ili…

Read More

Guterres analaani shambulio la kufa kwa walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati – maswala ya ulimwengu

Shambulio hilo lilifanyika Ijumaa kando na mhimili wa Birao-Am Dafock katika mkoa wa Vakaga tete, kaskazini mashariki mwa Gari, karibu na mpaka na Sudan iliyogongana na migogoro. Kulingana na misheni ya utulivu, Minuscadoria ililenga na “vitu visivyojulikana” katika eneo la Am-Sissia. Shambulio linaweza kuwa uhalifu wa vita Katika taarifa iliyotolewa na msemaji wake Jumapili, Katibu…

Read More

OPEC, EADB kusaidia maendeleo Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Mfuko wa Maendeleo wa Kimataifa wa OPEC na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) wameingia makubaliano wa mkopo wa Dola 40 milioni za Marekani (Sh106.2 bilioni) ili kuharakisha maendeleo jumuishi na endelevu ya kiuchumi Afrika Mashariki. Makubaliano hayo yaliyofanyika juzi makao makuu ya Mfuko wa OPEC mjini Vienna, Austria yanatajwa kuwa ni…

Read More

Hivi ndivyo bima ya afya kwa wote itakavyokuwa

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa ufafanuzi kuhusu mwelekeo wa mpango wa bima ya afya kwa wote, ukibainisha kuwa gharama kwa kaya moja yenye watu sita itakuwa Sh150,000 kwa mwaka, sawa na Sh25,000 kwa kila mwanakaya. Kifurushi hicho chenye jumla ya huduma 277, kitamuwezesha kiongozi wa kaya kulipa kwa…

Read More

Miundombinu ya barabarani, madaraja tumejenga wenyewe

Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa kwa sasa inajenga miundombinu ya barabara na madaraja kwa kutumia fedha za kodi kwa ajili ya kuboresha usafiri na maendeleo ya wananchi. Imeeleza katika kipindi cha miaka minne  barabara za lami zenye urefu wa kilomita 1,365 zimekamilika kujengwa na kilomita 2,380 za barabara za kiwango cha lami zinaendelea kujengwa…

Read More