Waandikishaji wapigakura watakiwa kuzingatia viapo | Mwananchi

Unguja. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza rasmi mafunzo kwa waandikishaji wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki (BVR) watakaosimamia kazi ya uandikishaji wa wapigakura katika vyuo vya mafunzo (Magereza) Zanzibar, huku wakikumbushwa kuzingatia maadili na viapo vyao wakati wa kutekeleza jukumu hilo muhimu. Mafunzo hayo ya siku tatu yalianza Juni 22 na…

Read More

Sheikh akemea siasa za udini

Njombe. Jamii imetakiwa kukemea siasa za udini ambazo zinatolewa na mtu au kikundi cha watu kwa malengo fulani hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, kwani bila ya kufanya hivyo kunaweza kusababisha uvunjifu wa amani hapa nchini. Wito huo umetolewa leo Juni 22, 2025 na Sheikh wa Wilaya ya Wanging’ombe, Mbaraka Mpanye katika kikao maalumu…

Read More

Kilio cha wajane kuelekea siku yao, Serikali kuja na mwongozo

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya wajane kesho Juni 23, mila kandamizi, umaskini, kukosa uelewa wa kisheria na changamoto za kisaikolojia zimeendelea kuwa kikwazo kwa kundi hilo. Baadhi ya wajane waliozungumza na Mwananchi wameeleza licha ya jitihada mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kundi hilo linapata haki zinazostahili bado kuna namna…

Read More

‘Wachokonozi’ washikiliwa na Polisi Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha limethibitisha kuwashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kwa makosa ya kimtandao ambao awali kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambaa taarifa za kudaiwa kutekwa na wasiojulikana. Taarifa hiyo ya Polisi iliyotolewa jana Jumamosi, Juni 21,2025 imewataja watuhumiwa hao kuwa ni Jackson Kabalo (32) na Joseph Mrindoko (37) wajasiriamali na wakazi wa eneo…

Read More

‘Wachokonozi’ wanashikiliwa na Polisi Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha limethibitisha kuwashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kwa makosa ya kimtandao ambao awali kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambaa taarifa za kudaiwa kutekwa na wasiojulikana. Taarifa hiyo ya Polisi iliyotolewa jana Jumamosi, Juni 21,2025 imewataja watuhumiwa hao kuwa ni Jackson Kabalo (32) na Joseph Mrindoko (37) wajasiriamali na wakazi wa eneo…

Read More

Kondakta auawa kwa kupigwa na kitu kizito usoni

Njombe. Mkazi wa Mji wa Njombe, Yokebeti Sindila (29), ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kwenye paji la uso, eneo la Mnarani, Mtaa wa Mji Mwema, Halmashauri ya Mji wa Njombe mkoani Njombe. Hayo yamesemwa leo Jumapili Juni 22, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga wakati akizungumza na waandishi wa habari….

Read More