Jeshi la Polisi Lafafanua Ukamatwaji wa Wachokonozi – Video – Global Publishers
Last updated Jun 22, 2025 Jeshi la Polisi limesema linawashikilia Vijana wawili wanaojulikana kwa jina la Wachokonozi ambao ni Joseph Mrindoko (37) na Jackson Kabalo (32) kwa tuhuma za matumizi mabaya ya Mtandao, ambao awali taarifa zilizosambaa Mtandaoni zilidaiwa wamechukuliwa na Watu Wasiojulikana waliokuwa na silaha Taarifa ya Polisi ya Juni…