JKT Tanzania yafuata kiungo Fountain Gate

UONGOZI wa JKT Tanzania upo kwenye mazungumzo na kiungo wa Fountain Gate, Daniel Joram kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. JKT Tanzania tayari imejihakikishia nafasi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya kukusanya pointi 35 ikiwa nafasi ya sita kwenye msimamo baada ya kucheza michezo 29, imeshinda minane, sare 11 na…

Read More

Zubaa uchekwe! | Mwanaspoti

UNAIJUA furaha ya kufanikisha jambo dakika za mwisho huku kila mmoja akikutolea macho kuona kama utafanikiwa au la? Basi jambo hilo hadi kufikia saa 12 jioni Jumapili hii mbivu na mbichi zitafahamika. Katika muda huo kuna baadhi ya timu na wachezaji binafsi wanafukuzia jambo ambapo katika kipindi hiki cha mwishoni mwa ligi, ukizubaa utachekwa wakati…

Read More

Opah Clement kurudi Ligi Kuu China

BEIJING Beikong inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake China iko kwenye mpango wa kumsajili nyota wa zamani wa Simba, Opah Clement. Hivi karibuni, Opah aliachana na FC Juarez ya Mexico baada ya kuhudumu kikosini hapo msimu mmoja akitokea Henan Jianye ya China. Chanzo kiliambia Mwanaspoti Beijing inataka kuweka ofa nzuri kumnasa mshambuliaji huyo kwa ajili ya…

Read More

Uadilifu unavyotesa wanaume ndoa za mitala

Mwanza. Mitala au ukewenza ni mfumo wa ndoa ambapo mwanaume anaoa wake zaidi ya mmoja. Ingawa mfumo huu umezoeleka katika baadhi ya jamii hasa za Kiafrika, bado unaibua mijadala mikali kuhusu haki, usawa, na ustawi wa familia. Changamoto kubwa inayojitokeza katika ndoa ya ukewenza ni utekelezaji wa uadilifu kati ya wake. …

Read More

Mbinu za ulezi wa watoto zama za dijitali

Katika dunia ya leo, ambapo watoto wanaweza kutumia simu kabla ya kujua kusoma, huku wanafunzi wakichota maarifa  kwa njia ya mtandao, ulezi umeingia kwenye enzi mpya ya kidijitali.  Wazazi wanajikuta wakikabiliana na changamoto na fursa mpya katika kulea watoto waliozaliwa kwenye zama za teknolojia. Watoto wa kizazi hiki wanakua wakiwa wamezungukwa na vifaa vya kielektroniki…

Read More