Kama wakwezo wanga, wazazi wako nao wanga

Canada. Ni mara ngapi umesikia malalamiko na tuhuma za uchawi katika baadhi ya familia za wanandoa wawe wanaokuhusu au kutokuhusu? Huwa unajisikiaje na kuelewaje? Si jambo jipya kusikia fulani akilalamika kuwa wakwe zake ni wanga. Mara nyingi, malalamiko haya hutolewa na wakamwana wanaposhindwa kuelewana na mama wakwe hata baba wake zao. Je, malalamiko haya yana…

Read More

Kinababa mzigo wa malezi unawahusu, wajibikeni

Dar es Salaam. Katika familia nyingi, jukumu la malezi limekuwa likiambatanishwa zaidi na mama, huku baba akiangaliwa kama mtoaji wa mahitaji. Hata hivyo, mtazamo huu unahitaji kufanyiwa kazi, hasa katika mazingira ya sasa ambayo changamoto za kimalezi, kitabia na kijamii zimeongezeka kwa kasi. Likizo ya shule ni kipindi cha kipekee ambacho watoto wako nyumbani muda…

Read More

Iran yajibu mapigo Israel, yamuua jasusi wa Mossad

Tehran. Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limethibitisha kutekeleza mashambulizi ya anga maeneo mbalimbali nchini Israel ikiwemo shambulizi lililolenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion, vituo vya utafiti na kambi za msaada wa kijeshi nchini humo. Shirika la Habari la Tasnim nchini Iran limeripoti kuwa mashambulizi hayo ya IRGC…

Read More

Tanzania kuanza kuunganisha magari ya umeme na gesi

Dar es Salaam. Wakati dunia ikihamasisha matumizi ya nishati safi ikiwemo katika vyombo vya moto ambayo ni moja ya hatua ya kukabiliana na hewa ukaa, Tanzania ipo mbioni kuanza kufanya uunganishaji wa magari ya umeme na gesi. Uunganishaji wa magari haya sasa utafanya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kupata urahisi wa kununua…

Read More

Mfanyabiashara adaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi Morogoro

Mfanyabiasha wa huduma za kifedha ambaye jina lake bado halijafahamika anadaiwa kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi kwa kupigwa risasi wakati akifungua duka lake kisha kuporwa begi lenye fedha usiku wa kuamkia Juni 21, 2025 huko Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka akizungumza na Mwananchi kwa njia ya…

Read More

Marekani yaishambulia Iran, yenyewe yaapa kulipa kisasi

Lilikuwa suala la muda tu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Marekani kutangaza hadharani kuwa imefanya mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nyuklia nchini Iran. Marekani sasa imeingia rasmi katika mgogoro  kati ya Israel dhidi ya Iran. Hatua hiyo imetangazwa usiku wa kuamkia leo Jumapili Juni 22, 2025, na Rais wa taifa hilo, Donald Trump. Katika hotuba…

Read More

Mahindra kuja na Magari ya Umeme na Gesi Tanzania

Balozi wa India nchini Tanzania, Bishwadip Dey amesema Tanzania iko katika hatua za mwisho kutengeneza magari yanayotumia Umeme na Gesi nchini kupitia kiwanda cha kampuni ya GF kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa gari ya Mahindra Scorpio uliofanyika jijini Dar es salaam, Balozi Dey amesema kutokana…

Read More