Mchujo kupita Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars ambayo msimu ujao itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika, imepanga kufanya mchujo mkali kwa wachezaji iliowatoa kwa mkopo ili kufanya uamuzi wa kuendelea nao au kuwaacha. Taarifa kutoka katika klabu hiyo iliyo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, zinabainisha kikosi hicho kina wachezaji zaidi ya 10 waliotolewa kwa mkopo katika…

Read More

Wagombea 25 wajitosa uchaguzi TFF

BAADA ya uchukuaji na urudishaji wa fomu kutamatika jana Juni 20, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Kiomoni Kibamba amesema wagombea sita wa urais wamezirudisha, huku wajumbe wa Kamati ya Utendaji ikiwa ni 19. Uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania nafasi za uongozi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa…

Read More

Biteko ainadi sekta ya nishati Russia

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dk Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati wa Russia,  Sergey Tsivilev kuhusu kuimarisha ushirikiano katika sekta ya nishati na maeneo mengine muhimu ikiwemo teknolojia na uwekezaji. Mazungumzo hayo kati ya Dk Biteko na Tsivilev yamefanyika kando ya Jukwaa la Kimataifa la Uchumi St. Petersburg…

Read More

RC aeleza ulipo ugumu vita vya dawa za kulevya

Unguja. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohamed Mahmoud amesema kazi ya kupambana na dawa za kulevya ni ngumu kwa sababu inahusisha watu wenye uwezo kifedha na watendaji wa Serikali wasiokuwa waadilifu. Ayoub ametoa kauli hiyo leo, Juni 21, 2025 baada ya kukamilisha matembezi ya hisani yaliyohusisha vikundi vya mazoezi 15 katika uwanja wa…

Read More

DKT. SAMIA CHIFU HANGAYA AKISHIRIKI TAMASHA LA BULABU

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Chifu Hangaya, ambaye ni Mkuu wa Machifu nchini, akiwa kwenye Kituo cha Hifadhi ya Utamaduni wa Kabila la Wasukuma – Bujora, Magu, mkoani Mwanza, leo Jumamosi, tarehe 21 Juni 2025. Rais Dkt. Samia Chifu Hangaya, anashiriki…

Read More