BULAYA ACHUKUA FOMU BUNDA MJINI BAADA YA KUHAMA CHADEMA

::::::: Aliekuwa mbunge wa Viti maalum kupitia chama cha Democrasia na Maendeleo Chedema Esta Bulaya amechukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo la Bunda Mjini kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi Ccm Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu hiyo Bulaya amesema ameamua kurejea katika chama cha mapinduzi kutokana na chama hicho…

Read More

Viongozi wa Ulimwenguni huko Sevilla wanazindua kushinikiza kushinikiza kufadhili siku zijazo – maswala ya ulimwengu

Picha ya UN/Manuel Elías Maelezo hutolewa baada ya bendera za UN na Uhispania kuinuliwa katika mkutano wa ufadhili wa Mkutano wa Maendeleo huko Sevilla. Jumatatu, Juni 30, 2025 Habari za UN Kutoka kwa kuongezeka kwa deni na kupungua kwa uwekezaji, kwa shida ya ufadhili wa misaada na mapambano ya kufikia malengo ya maendeleo ya kutamani,…

Read More

MKINGA ACHUKUA FOMU KUOMBA UBUNGE LUDEWA

Mtia nia James Innocent Mkinga (kulia), Mtaalamu mbobezi katika Fani ya Teknojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) akichukua fomu yake kuomba kuteuliwa kugombea jimbo hilo.   James Innocent Mkinga, Mtaalamu mbobezi katika Fani ya Teknojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). JOTO la Siasa katika Jimbo la Uchaguzi la Ludewa limezidi kupanda kufuatia kuendelea kujitokeza kwa…

Read More

Hersi: Ugumu wa msimu umetufanya tufurahie

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema ugumu waliopitia msimu huu umewafanya leo kufurahia matunda. Hersi aliyasema hayo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 1, jijini Dar es Salaam wakitokea Zanzibar ambako Yanga ilishinda 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mechi yao ya fainali ya Kombe…

Read More

Jalada kesi ya wizi wa shehena ya mafuta lipo kwa DPP

Dar es Salaam. Jalada la kesi ya wizi wa mafuta katika visima vya Kimataifa ya Kuhifadhi Mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), inayowakabili washtakiwa wanane, lipo ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa ajili ya kupitiwa na kutolewa uamuzi. Jalada hilo limepelekwa ofisi ya DPP, baada ya kutoka Polisi. Washtakiwa katika kesi hiyo ya uhujumu…

Read More

Paredi la Yanga lawabeba bodaboda

KATIKA msafara wa Yanga, bodaboda wamepata fursa ya kubeba mashabiki kwa kujipatia kipato, kutoka kwa mashabiki ambao wamechoka kutembea na kuamua kutumia usafiri huo. Mwanaspoti lipo katika msafara huo, limeshuhudia baadhi ya mashabiki wakikubaliana bei na bodaboda ambao wanabeba abiria wqwiki hadi watatu kufukuzana na gari iliyobeba mataji sambamba na wachezaji. Kutokana na msafara kuwa…

Read More

DAS Kinondoni atoa somo ukatili kwa watoto

Dar es Salaam. Wazazi na walezi wanaowapeleka watoto shule za bweni wakiwa bado wadogo wameshauriwa kuwafuatilia kwa karibu katika makuzi yao wakiwa shuleni na wakati wa likizo. Hatua hiyo ni kuwaepusha na wimbi la vitendo vya ukatili wa kijinsia katika ulimwengu wa sasa wa sayansi na teknolojia. Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Katibu Tawala…

Read More