Makocha 29 wapigwa msasa Arusha

Makocha 29 wamemaliza kozi ya awali ya ukocha wa soka maarufu kama Fifa Grassroots Football Coaching Course kwa ajili ya kufundisha vijana na watoto. Mafunzo hayo yamefanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Royal eneo la Sinoni Unga Ltd na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid yakiandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA NDUGU MALIMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa pole kwa familia ya marehemu Mobutu Malima, nyumbani kwake Kishili, Nyamagana, mkoani Mwanza, tarehe 20 Juni 2025. Ndugu Malima, ambaye alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu (Bara), Makao Makuu ya CCM, Dodoma alifariki tarehe 15 Juni na anatarajiwa kuzikwa Jumapili,…

Read More

Simbu, Geay kukiwasha Mampando Festival

Msimu wa nne wa tamasha la Mampando unatarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanza Juni 23, huku wanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu na Gabriel Geay wakiwa miongoni mwa nyota ambao watakaokuwepo kulinogesha. Tamasha hilo litafanyika katika kijiji cha Mampando kilichopo wilayani Ikungi mkoani Singida lengo ikiwa ni kuibua na kuendelea vipaji vya vijana kupitia…

Read More

Soraga: Utalii uendane na uhifadhi mazingira

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema utalii ambao inawekea mikakati kuukuza lazima uendane na uhifadhi wa mazingira na wadau wote washiriki katika utekelezaji wa mpango huoili kuimarisha utalii endelevu. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramadhan Soraga, ametoa kauli hiyo leo Juni 21, 2025 alipofungua maonyesho ya pili ya utalii na uwekezaji katika…

Read More

Mbio mpya ya nafasi – maswala ya ulimwengu

Matumizi ya mataifa ya muda mrefu ya kuanzishwa-haswa Amerika-bado yanaweza kutawala vichwa vya habari, lakini nchi tofauti kama Zimbabwe, Honduras na Malta zinaashiria nia yao ya kuvuna faida za shughuli zinazohusiana na nafasi. Majimbo haya madogo, na mengi zaidi, yanaomba ushirika wa mwili wa UN ambao husaidia kuunda sheria zilizokubaliwa kimataifa juu ya matumizi ya…

Read More

NAIBU WAZIRI -UTUMISHI AIPONGEZA NCC KWA UTENDAJI KAZI WAO

Naibu Waziri Deus Sangu wa UTUMISHI akionesha kitu katika moja ya machapisho ya NCC ambapo alishauri ifanyike kazi ya ziada kuhakikisha taarifa za NCC zinaifikia jamii yote ya Watanzania na si wakandarasi pekee au wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi tu. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Deus Sangu, akisikiliza maelezo…

Read More

HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA YAKUSANYA BILIONI 12.4 KATI YA LENGO LA KUKUSANYA BILIONI 8.2

Mbinga-Ruvuma. Halimashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma,imekufanikiwa kukusanya Sh.bilioni 12.2 kati ya lengo la awali la kukusanya Sh.bilioni 8.4 hadi kufikia tarehe 30 Juni 2025. Akitoa taarifa kwenye kikao maalum cha Baraza la madiwani la kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) Mkuu wa kitengo cha fedha na Uhasibu Halmashauri hiyo…

Read More