NAIBU WAZIRI KITANDULA AIPONGEZA TFS ,ATAKA IONGEZE UBUNIFU BIDHAA ZA NYUKI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Danstan Kitandula (Mb), ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitihada zake katika kukuza sekta ya nyuki kupitia uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zenye viwango vya ubora. Pia ameitaka TFS kuongeza ubunifu zaidi katika vifungashio na taarifa za kitaalamu zitakazomsaidia mlaji kuelewa thamani…

Read More

WATAHINIWA 680 WAFAULU MTIHANI WA PSPTB

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Imeelezwa kwamba vituo saba vya Tanzania Bara vimefanikiwa kuendesha mitihani ya BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ambapo jumla ya watahiniwa 1,506 walisajiliwa na 1,421 waliratibiwa kufanya mitihani. Taarifa hiyo imetolewa Jijini Dodoma leo na Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB Godfred Mbanyi ambaye amesema kwa ujumla watahiniwa walifaulu mitihani…

Read More

Vikundi zaidi ya 400 havijarejesha mikopo ya asilimia kumi waliyopewa na Halimashauri ya Jiji la Dodoma

Na Mwandishi wetu – Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Dodoma Joseph amesema vikundi 467 vinatafutwa na halmashauri hiyo kwa ajili ya kurejesha mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu hapa Nchini. Fungo ameyabainisha hayo leo jijini Dodoma katika semina ya mafunzo yaliyoandaliwa.na Benki ya…

Read More

Profesa Kilangi: Vijana wa Kitanzania ni wavivu wa kutafuta ukweli

Mwanza. Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Profesa Adelardus Kilangi amesema vijana wengi wa Kitanzania wanakosa juhudi za kutafuta ukweli na kuchambua taarifa sahihi, badala yake wamekuwa wakitegemea taarifa zisizo sahihi kutoka vyanzo visivyoaminika. Profesa Kilangi ametoa kauli hiyo leo Juni 20, 2025, wakati akihudhuria maadhimisho ya kumbukumbu ya maisha ya Mtakatifu Agustino, yaliyofanyika katika Chuo…

Read More

Serikali yashauriwa kuweka mafungu maalumu kwa watoto

Unguja. Wakati jamii ikiwa na mitazamo hasi juu ya michezo kwa watoto ikiwemo kuwa chanzo cha kufeli masomo yao, Serikali imetoa wito kwa walimu ma wazazi kuacha mitazamo hiyo kwa sababu michezo ni njia mojawapo ya kujifunza. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Juni 20, 2025 na Mkurugenzi wa Idara ya Michezo na Utamaduni kutoka Wizara ya Elimu…

Read More

Yaliyotikisa Baraza la Kumi, Rais Mwinyi kulivunja

Unguja. Baraza la Wawakilishi la Kumi linafikia tamati ya uhai wake baada ya kipindi cha miaka mitano, likiacha kumbukumbu ya kumaliza majukumu yake chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), mfumo wa utawala unaojumuisha vyama vikuu vya siasa viwili, CCM na ACT-Wazalendo. Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk Hussein Mwinyi, anatarajiwa kulihutubia…

Read More