Waziri Mkuu awapa maagizo maofisa mikopo vyuoni

Morogoro. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza maofisa wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu waliopo katika vyuo mbalimbali nchini kutoa elimu ya pamoja kwa wanafunzi kuhusu ujazaji sahihi wa fomu za mikopo kwa njia ya mtandao, badala ya kutoa maelezo kwa mtu mmoja mmoja. Amesisitiza kuwa njia hiyo itaongeza ufanisi, kuokoa muda na kuwasaidia…

Read More

Mama adaiwa kuwaua wanaye wawili mgogoro wa familia watajwa

Hai. Mary Mushi (26), mkazi wa Kijiji cha Mungushi, Hai mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kuwaua wanawe wawili, mmoja wa miaka minne na mwingine wa miezi sita, kisha kujijeruhi, chanzo kikitajwa ni mgogoro wa kifamilia. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Abel Mtagwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akisema limetokea leo Juni 20, 2025. “Ni kweli…

Read More

MAAFISA UGANI 1701 WAPEWA MAFUNZO YA KILIMO NA TEHAMA

Maafisa ugani wapatao 1,701 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma za ugani, kupitia mfumo wa kisasa wa M-Kilimo. Kupitia mfumo huu, Maafisa Kilimo wataweza kuwafikia wakulima wengi kwa wakati mfupi na kuwapa taarifa muhimu kuhusu kanuni bora za kilimo, taarifa za hali ya hewa,…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA AFRIKA NA ITALIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Ubia wa Maendeleo baina ya Afrika na Italia kupitia mpango wa Mattei (Mattei Plan) na Mpango wa Ulaya (Global Gateway) utasaidia katika kuendeleza miundombinu, rasilimali watu, kilimo na maendeleo ya kidijitali barani Afrika. Makamu wa Rais amesema hayo mara baada ya…

Read More

MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI ZANZIBAR; FURSA KWA WANANCHI KUJUA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO NGORONGORO

Na Mwandishi Wetu, Dimani, Fumba Zanzibar Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) imeshiriki kwa mafanikio katika Maonesho ya Pili ya Utalii na Uwekezaji Zanzibar 2025, yanayofanyika katika viwanja vya Dimani, Fumba Zanzibar, na kufunguliwa rasmi na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga. Kupitia…

Read More

Joto la majimbo juu bungeni, Zungu awatuliza akitoa mbinu

Dodoma. Kadri Bunge la 12 linavyoelekea ukingoni, joto la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 linazidi kupanda, hali inayosababisha baadhi ya wabunge kutumia jukwaa la mjadala wa bajeti kujinadi kwa mafanikio ya kazi walizofanya majimboni mwao. Wengine, wakitambua ushindani unaotarajiwa, wanatumia fursa hiyo kutoa mbinu na ushauri kwa wenzao kuhusu namna ya kukabiliana na mchakato wa…

Read More

Serikali yawaachia vishkwambi madiwani nchi nzima

Arusha. Serikali imeamua kuwaachia madiwani wote nchini vishkwambi walivyogaiwa kwa ajili ya kurahisisha uendeshaji wa vikao vya mabaraza, licha ya kuwa vilitakiwa kurudishwa wakati wa kuvunjwa kwa mabaraza ya madiwani baada ya kumalizika kwa muda wao wa uwakilishi. Baadhi ya vishkwambi hivyo vilivyotolewa mwaka jana na vingine Januari mwaka huu kwa mabaraza yote nchini vilitakiwa…

Read More

Samia: Viongozi wa dini ponyeni mioyo ya watu

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kuponya mioyo ya Watanzania katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 akieleza inatokea migogoro, kugombana na kutofautiana. Amesema hayo leo Ijumaa Juni 20, 2025 alipozungumza kwenye hafla ya siku ya Sungusungu iliyojumuisha mikoa mitano ya Kanda ya Ziwa katika uwanja wa CCM Kirumba, jijini…

Read More