TUMUUNGE MKONO RAIS SAMIA KWA MAENDELEO-MTETEZI WA MAMA

:::: TAASISI ya Mtetezi wa Mama imesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye dhamira ya kweli ya kuiletea maendeleo Tanzania huku ikiwataka wananchi kuhakikisha inampigia kura za kishindo katika uchaguzi Mkuu ujao  Akizungumza mara baada ya Rais Samia kuzindua Daraja la ‘J.P Magufuli ‘ (Kigongo-Busisi) Mkurugenzi wa Taasisi ya Mtetezi wa Mama Neema Karume…

Read More

WAZIRI MCHENGERWA AWABARIKI MADIWANI WOTE NCHINI VISHKWAMBI

Na Pamela Mollel,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh.Paul Makonda amewataka madiwani wote kwenda kuwa mabalozi wazuri wa kazi zilizofanywa na serikali ya Rais Dkt,Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa mwana mageuzi wa kiuchumi nchini Tanzania Ametoa Rai hiyo leo juni 20,2025 wakati akiongea katika baraza la madiwani jiji la Arusha ambapo mabaraza yote nchini yamevunjwa…

Read More

WANANCHI 851 KULIPWA FIDIA YA ZAIDI YA BILIONI 5 KUPISHA UJENZI WA BARABARA YA LIKUYUFUSI-MKENDA MKOANI RUVUMA

NA BELINDA JOSEPH, SONGEA. Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma umewahakikishia wananchi 851 waliopisha mradi wa ujenzi wa barabara ya Likuyufusi-Mkenda kuwa watalipwa fidia mapema bila kuathiri shughuli zao za kiuchumi na kijamii. Fidia hiyo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 5 inatarajiwa kulipwa mara baada ya TANROADS kupokea fedha kutoka Wizara…

Read More

IMANI POTOFU MATUMIZI YA BANGI KWA WAVUVI ZIWA VIKTORIA

……. Na Daniel Limbe,Chato BANGI ni mmea maarufu sana hapa Duniani ambao umekuwa ukitumiwa kwa miongo kadhaa na baadhi ya watu licha ya nchi nyingi kupiga marufuku matumizi yake kutokana na madhara kiafya. Licha ya marufuku hiyo, baadhi ya wataalamu wa tiba asili wamekuwa wakieleza kuwa maji maji ya mmea huo husaidia kutibu sikio linalouma…

Read More

Mgongano wa masilahi kikwazo likizo za wanafunzi

Dar es Salaam. Wazazi, walimu na wenye shule wanatajwa kuwa chanzo cha wanafunzi kuendelea na masomo katika kipindi hiki cha likizo kinyume cha waraka uliotolewa na Serikali. Wadau wa elimu waliozungumza na Mwananchi wamesema baadhi ya wazazi wanataka watoto wao waendelee na masomo, licha ya wengine kupinga, huku shule zikiendelea na masomo ili kukamilisha mtalaa…

Read More

Mkuranga kinara wizi wa shaba kwenye transfoma

Dar es Salaam. Wizi wa nyaya za shaba zilizo ndani ya transfoma zimelisababishia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) hasara ya Sh700.5 milioni katika kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2024 kufuatia kuharibiwa kwa transfoma 63. Kati ya transfoma hizo 63 zilizoharibiwa, Wilaya ya Mkuranga inaoongoza kwa kurekodi matukio 36 ya uharibifu huo ikifuatiwa na mikoa…

Read More

KRFA yafunguka sababu kumdhamini Karia TFF

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace Karia kuendelea na kipindi kingine cha uongozi. Akizungumza leo, Juni 20,2025 mjini Moshi, Mwenyekiti wa KRFA, Isaac Munis maarufu kwa jina la ‘Gaga’ amesema wamemdhamini Karia kwa kuzingatia kazi  aliyoifanya…

Read More