Mbadala wa madiwani hawa hapa mabaraza yakivunjwa

Dar es Salaam. Wakati mabaraza ya madiwani kote nchini yakivunjwa rasmi leo Juni 20, 2025, majukumu yao sasa yatatekelezwa na wakurugenzi wa halmashauri pamoja na wakuu wa idara katika halmashauri hadi pale watakapopatikana madiwani wengine. Hata hivyo, watendaji hao hawataruhusiwa kuanzisha miradi mipya ya maendeleo, bali wataendelea kusimamia utekelezaji wa miradi iliyoachwa na madiwani katika…

Read More

Mwanza inavyojipanga kushindana na Dar kiuchumi

Mwanza. Licha ya kuwa mkoa wa pili kwa kuchangia pato la Taifa (GDP) kwa asilimia 7.2, nyuma ya Dar es Salaam inayoongoza kwa asilimia 14, Serikali imeweka mkakati mahsusi wa kuufanya Mkoa wa Mwanza kuwa kinara wa uchumi nchini. Hili litawezekana kupitia mipango madhubuti ya maendeleo ya viwanda, biashara, uvuvi, usafirishaji na miundombinu, hasa kwa…

Read More