Mayay arudisha fomu urais TFF, afunguka

Mgombea mwingine wa nafasi ya urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay amerudisha fomu ya kugombea. Mayay amerudisha fomu hiyo mchana huu katika ofisi za makao makuu ya TFF akiambatana na rafiki yake, Dominic Salamba. Baada ya kurudisha, Mayay amesema amekamilisha hatua ya awali ya mchakato huo kwa kuchukua na kurudisha fomu. …

Read More

Shime: Uganda imetupa maswali magumu

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amesema ushindi dhidi ya Uganda jana wa mabao 2-0 umewapa maswali magumu ya kujiuliza kuelekea mechi ya kesho, Juni 21 dhidi ya Kenya. Twiga Stars kesho itacheza mchezo wa nne na wa mwisho kwenye mashindano ya Wanawake ya Cecafa yanayoendelea katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi,…

Read More

Karia, Dk Msolla warudisha fomu TFF

Mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unaendelea ambapo mpaka sasa wagombea wawili wa nafasi ya urais wamerudisha fomu. Taarifa kutoka ndani ya kamati ya uchaguzi ya shirikisho hilo zinaeleza kwamba rais anayetetea nafasi hiyo, Wallace Karia alirudisha fomu jana. Karia anatetea nafasi hiyo akiwa ameongoza vipindi viwili shirikisho hilo. …

Read More

MAHAKAMA KUU INATARAJIA KUSIKILIZA MAOMBI YA KUONGEZA MUDA KUKATA RUFAA DHIDI YA MFANYAKAZI WA BENKI

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam inatarajia kusikiliza maombi ya kuongeza muda wa kukata rufaa dhidi ya mfanyakazi wa benki Ibrahim Masahi aliyetuhumiwa kumjeruhi jirani yake kwa nyundo kisa kushtakiwa Serikali ya mtaa kwa kutililisha maji machafu, Julai Mosi 2025. Masahi alikuwa akituhumiwa kwamba Januari 11, 2023 akiwa eneo la Mbezi Msakuzi…

Read More

‘VIBE’ MAHUSIANO SPORTS BONANZA RAHA TUPU MSALALA

  Wachezaji wa timu ya Lwabakanga na Kakola wakiwania mpira katika moja ya mchezo. Kikosi cha timu ya Bugarama katika picha ya pamoja kabla ya mchezo Wachezaji wa timu za Bugarama na Busindi wakisalimiana kabla ya mechi yao kuanza. Wachezaji wakiwa uwanjani kabla ya mechi kuanza Ukitembelea kata mbalimbali zinazozunguka Mgodi wa dhahabu wa Barrick…

Read More

Dar City wanatupia tu BDL

Dar City inaongoza  kwa kufunga pointi 756, katika Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Dar City imefunga pointi hizo, kutokana na michezo nane, ikiongoza pia katika msimamo wa ligi hiyo kwa pointi 16. Inayofuatia ni Savio  iliyofunga pointi 654, Stein Warriors 594, JKT 580, KIUT  538, Srelio 523, Kurasini Heat 497, ABC  493…

Read More