Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao. Bila kujali jua kali
Month: June 2025

Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan. Yanga imemvuta Mbosso kuwa msanii

Zahara Michuzi, mmoja wa watumishi wa umma waliopitia majukumu makubwa serikalini kwa miaka kadhaa, amejiunga rasmi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa Viti Maalum kupitia Umoja

Wakati wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi la timu hiyo wakiingia kwenye gari tayari kwa ajili ya kuanza msafara wa Paredi la Yanga, mastaa

LICHA ya mashabiki kuzuiliwa kuingia ndani ya eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, eneo la nje ya uwanja huo limefunikwa na

:::::: MWANDISHI WETU, TANGA Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru Tanzania, Balozi Dkt. Mohamed Mwampogwa, amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Handeni mkoani

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

Na Mwandishi Wetu – Rufiji Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI na aliyekuwa Mbunge wa Rufiji Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Juni 30, amejitokeza kuomba

TANZANIA itaendelea kuwakilishwa na nyota mwingine kwenye michuano ya Ulaya, kiungo Charles M’Mombwa ambaye hivi karibuni alijiunga na Floriana FC ya Malta. Floriana FC inashiriki

MABOSI wa Pamba Jiji wameanza harakati mapema za kukisuka kikosi hicho upya ili kuleta ushindani msimu ujao, ambapo inaelezwa wametuma wawakilishi kufuatilia upatikanaji wa beki