Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 8
Michezo

Nyomi la mashabiki lawapokea mastaa Yanga

June 30, 2025 Admin

Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao. Bila kujali jua kali

Read More
Burudani Michezo

Mbosso na Aviola laivu Jangwani 

June 30, 2025 Admin

Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan. Yanga imemvuta Mbosso kuwa msanii

Read More
Habari

ZAHARA MICHUZI, ALIYEKUWA DED MEATU, IFAKARA NA GEITA AJITOSA MBIO ZA UBUNGE VITI MAALUM UWT TABORA

June 30, 2025 Admin

Zahara Michuzi, mmoja wa watumishi wa umma waliopitia majukumu makubwa serikalini kwa miaka kadhaa, amejiunga rasmi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa Viti Maalum kupitia Umoja

Read More
Michezo

Mkude, Sureboy, Farid wakacha paredi la Yanga

June 30, 2025 Admin

Wakati wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi la timu hiyo wakiingia kwenye gari tayari kwa ajili ya kuanza msafara wa Paredi la Yanga, mastaa

Read More
Michezo

Mashabiki Yanga waipamba Airport | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

LICHA ya mashabiki kuzuiliwa kuingia ndani ya eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, eneo la nje ya uwanja huo limefunikwa na

Read More
Habari

BALOZI DKT. MWAMPOGWA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA HANDENI

June 30, 2025 Admin

:::::: MWANDISHI WETU, TANGA Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru Tanzania, Balozi Dkt. Mohamed Mwampogwa, amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Handeni mkoani

Read More
Michezo

QPR ya England yamalizana na beki Mbongo

June 30, 2025 Admin

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

Read More
Habari

MCHENGERWA AOMBA RIDHAA KWA CCM KUGOMBEA UBUNGE WA RUFIJI

June 30, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu – Rufiji Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI na aliyekuwa Mbunge wa Rufiji Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Juni 30, amejitokeza kuomba

Read More
Michezo

Mtanzania mwingine kucheza UEFA | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

TANZANIA itaendelea kuwakilishwa na nyota mwingine kwenye michuano ya Ulaya, kiungo Charles M’Mombwa ambaye hivi karibuni alijiunga na Floriana FC ya Malta. Floriana FC inashiriki

Read More
Michezo

Pamba Jiji yatua kwa beki Mzambia

June 30, 2025 Admin

MABOSI wa Pamba Jiji wameanza harakati mapema za kukisuka kikosi hicho upya ili kuleta ushindani msimu ujao, ambapo inaelezwa wametuma wawakilishi kufuatilia upatikanaji wa beki

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 7 8 9 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.