Nyomi la mashabiki lawapokea mastaa Yanga

Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao. Bila kujali jua kali mashabiki wa Yanga wameonyesha hawana shoo ndogo baada ya kujitokeza kuwapokea mastaa wao waliokuwa wametoka kwenye mechi ya fainali ya Kombe la CRDB. Kikosi hicho ambacho kitazunguka maeneo makuu manne…

Read More

Mbosso na Aviola laivu Jangwani 

Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan. Yanga imemvuta Mbosso kuwa msanii maalum atakayetumbuiza katika kilele cha paredi la ubingwa wakati timu hiyo itakapomalizia msafara wa kutembeza mataji matano iliyotwaa msimu huu. Yanga imeshatua jijini Dar es Salaam, ikitokea Zanzibar ilipotwaa taji…

Read More

ZAHARA MICHUZI, ALIYEKUWA DED MEATU, IFAKARA NA GEITA AJITOSA MBIO ZA UBUNGE VITI MAALUM UWT TABORA

Zahara Michuzi, mmoja wa watumishi wa umma waliopitia majukumu makubwa serikalini kwa miaka kadhaa, amejiunga rasmi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Tabora. Katika tukio lililosubiriwa kwa bashasha na matumaini makubwa, Zahara alipokea rasmi fomu ya kugombea kutoka kwa Katibu wa UWT wa Mkoa, Bi….

Read More

Mkude, Sureboy, Farid wakacha paredi la Yanga

Wakati wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi la timu hiyo wakiingia kwenye gari tayari kwa ajili ya kuanza msafara wa Paredi la Yanga, mastaa watatu hawakuingia kwenye gari hilo. Jana Yanga ilitetea ubingwa wa nne wa Kombe la Shirikisho la FA ikiichapa Singida Black Stars mabao 2-0 na kufikisha makombe matano ambayo imeyatwaa msimu…

Read More

Mashabiki Yanga waipamba Airport | Mwanaspoti

LICHA ya mashabiki kuzuiliwa kuingia ndani ya eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, eneo la nje ya uwanja huo limefunikwa na rangi ya kijani, nyeusi na njano. Mashabiki wa Yanga wametinga uwanjani hapo wakiisubiri timu yao ikitokea Zanzibar baada ya jana Jumapili kutwaa taji la FA kwakuifuga Singida Black Stars mabao…

Read More

QPR ya England yamalizana na beki Mbongo

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania. QPR imemsajili beki huyo wa kulia raia wa Australia kutoka Macarthur FC ya Sydney kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kumalizika Juni 30 mwaka huu. Adamson, mwenye umri wa…

Read More

Mtanzania mwingine kucheza UEFA | Mwanaspoti

TANZANIA itaendelea kuwakilishwa na nyota mwingine kwenye michuano ya Ulaya, kiungo Charles M’Mombwa ambaye hivi karibuni alijiunga na Floriana FC ya Malta. Floriana FC inashiriki Ligi Kuu ya Malta, maarufu kama Maltese Premier League, ambayo ni ligi ya daraja la juu katika mfumo wa soka nchini humo. Malta ni nchi ndogo ya visiwa iliyoko katika…

Read More

Pamba Jiji yatua kwa beki Mzambia

MABOSI wa Pamba Jiji wameanza harakati mapema za kukisuka kikosi hicho upya ili kuleta ushindani msimu ujao, ambapo inaelezwa wametuma wawakilishi kufuatilia upatikanaji wa beki wa kati wa Kabwe Warriors ya Zambia, Kabaso Chongo. Taarifa kutoka timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti wawakilishi hao wametua Zambia tayari kwa kufanikisha dili la aliyekuwa kiungo nyota wa Simba, Larry…

Read More