Dawa kuzuia maambukizi VVU sasa rasmi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha sindano ya lenacapavir kwa ajili ya kinga dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua ambayo imepongezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Hatua ya FDA inafuatia matokeo yaliyoonyesha matumaini katika majaribio mawili ya awali (Purpose 1 na 2) yaliyofanyika mwaka 2024.   Majaribio…

Read More

Stanbic Bank Tanzania na Vodacom Tanzania Wasaini Ushirikiano wa Miaka Mitatu Kusaidia Msafara wa Baiskeli za Twende Butiama

 Dar es Salaam, Tanzania – 19 Juni 2025 Stanbic Bank Tanzania na Vodacom Tanzania leo wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) ya kihistoria ya miaka mitatu ili kusaidia Twende Butiama Cycling Tour — kampeni ya kitaifa inayochanganya michezo, uendelevu wa mazingira, na maendeleo ya kijamii. Kupitia ushirikiano huu, Stanbic Bank imejitolea kuchangia TZS milioni 300 ndani…

Read More

PAC yashangaa dosari zinazotajwa na CAG kujirudia

Unguja. Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), imeshangazwa na baadhi ya taasisi za umma kuendelea kurudia makosa licha ya kuwepo kwa juhudi za kuyarekebisha. Akizungumza wakati wa kuwasilisha taarifa ya PAC kuhusu ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 katika mkutano wa 19 wa Baraza la Wawakilishi leo…

Read More

Samia aeleza sababu kuendeleza Daraja JP Magufuli

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uamuzi wake wa kusimamia na kuhakikisha anaendeleza utekelezaji wa Daraja la John Pombe Magufuli hadi kukamilika kwake, umetokana na nia ya dhati ya kutimiza maono ya mtangulizi wake, hayati John Magufuli. Pia, amesema daraja hilo litakuwa alama ya nchi na uthibitisho kwamba, Taifa limepiga hatua ya kiuchumi, uwezo wa kupanga,…

Read More

Hatua kwa hatua uzinduzi Daraja la JP Magufuli

Mwanza. Sasa ni rasmi, ndiyo maneno unayoweza kuyatumia unapoelezea hatua ya Serikali ya Tanzania kukamilisha na kuzindua Daraja la John Pombe Magufuli, lililoanza kutekelezwa Februari 2020. Hatua ya kuzinduliwa kwa daraja hilo, kunafungua fursa ya kuanza kutumika na Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyeongoza ruhusa ya magari kupita katika daraja hilo. Daraja hilo linaloiingiza Tanzania…

Read More