Wawakilishi watakiwa kuendelea kudumisha amani, utulivu

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuendelea kudumisha amani na utulivu katika majimbo yao wakati na baada ya uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu. Pia, amesema Serikali haitamvumilia mtu au kikundi, taasisi na chama chochote cha siasa, kitakachoashiria uvunjifu wa amani huku akisisitiza…

Read More

Kigogo CUF atimkia ACT Wazalendo, wenyewe wamjibu

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CUF (Bara), Maftaha Nachuma amesema mapambano ya kweli ya haki za wananchi yanayofanywa na ACT Wazalendo, ndio sababu iliyomfanya kuhamia chama hicho, huku akiomba viongozi kumpa ushirikiano. Maftaha ambaye ni mbunge wa zamani wa Mtwara Mjini amesema alikuwa uwezo wa kwenda vyama vingine vya upinzani, lakini kwa…

Read More

Serikali kuongeza nguvu mapambano ya dengue, chikungunya

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Afya imetangaza kuongeza nguvu katika ufuatiliaji wa magonjwa ya dengue na chikungunya kupitia mradi wa miaka mitano wa uwezeshaji wa wataalamu wa maabara na vituo vilivyopo halmashauri za mikoa, ili kugundua virusi wanaosababisha maradhi hayo. Dengue ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na mbu aina ya Aedes ukiwa na…

Read More

WADAU SEKTA YA MILKI WATAKIWA KUWA NA UMOJA

Na Munir Shemweta, WANMM MWANZA Wadau wa sekta ya milki nchini wametakiwa kuendelea kuwa na umoja ili kuhakikisha sekta ya milki inakuwa. Hayo yameelezwa tarehe 17 Juni 2025 na Mkurugenzi wa Kitengo cha Milki Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Upendo Matotola wakati wa kikao cha wadau wa sekta ya milki kilichofanyika mkoani…

Read More

Aliyekutwa akisafirisha bangi kilo 216 jela maisha

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi Masijala Ndogo ya Morogoro, imemuhukumu kifungo cha maisha, Damas Makenza baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi kilo 216. Hukumu hiyo ilitolewa Juni 17, 2025 na Jaji Sedekia Kisanya aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi  ya…

Read More