NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TAA KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile, ametembelea banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma. Katika ziara hiyo, Mhe. Kihenzile alipokelewa na maafisa wa TAA waliompatia maelezo kuhusu majukumu ya msingi ya Mamlaka hiyo, ikiwemo kusimamia,…

Read More

Sopu ameanza kujipata Azam FC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Abdul Suleiman ‘Sopu’ ameanza kujipata ndani ya kikosi hicho baada ya kutokuwa na msimu mzuri, jambo linalompa matumaini kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi akitarajia makubwa kutoka kwa nyota huyo. Kauli ya Taoussi inajiri baada ya nyota huyo kuchangia mabao mawili juzi katika ushindi wa timu hiyo wa 5-0, dhidi…

Read More

Dereva wa boti ya uokoaji Ziwa Victoria asimulia magumu anayopitia barabarani

Dereva wa gari linalosafirisha boti maalumu ya uokoaji katika Ziwa Victoria (Ambulance Mwanza), Hamidu Mshamu ameeleza changamoto anazokumbana nazo akiwa katika safari ya siku 14 kutoka Mtwara hadi Mwanza. Akizungumza na Mwananchi Digital akiwa mkoani Morogoro leo Alhamisi Juni 19, 2025, Mshamu amesema tayari ametembea zaidi ya kilomita 1,100 tangu kuanza safari hiyo na kwa…

Read More

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI AIPONGEZA TCAA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati inayolenga kuboresha miundombinu na huduma katika sekta ya usafiri wa anga nchini. Mhe. Kihenzile ametoa pongezi hizo alipotembelea banda la TCAA katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kufanyika katika…

Read More

Ripoti ya jeraha la Dube yashtua

MASHABIKI wa soka kwa sasa wanahesabu siku kabla ya kushuhudia pambano la Dabi ya Kariakoo lililopangwa kupigwa Juni 25 baada ya kuahirishwa mara mbili Machi 8 na Juni 15, kuna taarifa ambayo huenda isiwe nzuri kwa mashabiki wa Yanga. Timu hizo zitavaana Juni 25 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika pambano hilo la marudiano la…

Read More

Mbedule ampa 5 Chifu Mkwawa kuanzisha tamasha la Wahehe

 MDAU wa Maendeleo Mkoa wa Iringa, Wakili Sosten Mbendule amempongeza Chifu Adam Sapi Mkwawa II kwa kuwaleta pamoja katika kuadhimisha tamasha la utamaduni la Wahehe. Wakili Mbedule amesema tamasha hilo la Wahehe lililoanza Juni 16 na kufikia kilele chake leo Juni 19, 2025 katika kijiji cha Kalenga mkoani Iriga linasaidia kudumisha utamaduni wa kabila la…

Read More

Mbedule ampa 5 Chifu Mkwawa kuanzia tamasha la Wahehe

MDAU wa Maendeleo Mkoa wa Iringa, Wakili Sosten Mbendule amempongeza Chifu Adam Sapi Mkwawa II kwa kuwaleta pamoja katika kuadhimisha tamasha la utamaduni la Wahehe. Wakili Mbedule amesema tamasha hilo la Wahehe lililoanza Juni 16 na kufikia kilele chake leo Juni 19, 2025 katika kijiji cha Kalenga mkoani Iriga linasaidia kudumisha utamaduni wa kabila la…

Read More