Miloud ashindwa kujizuia kwa Pacome

YANGA imefanya mauaji jijini Mbeya ilipoivuruga Tanzania Prisons kwa mabao 5-0, kisha fasta ikageuka na kurejea Dar es Salaam usiku wa jana ili kujiandaa na safari ya kwenda Zanzibar kuvaana na Dodoma Jiji, Jumapili, lakini kuna kitu kimetamkwa na kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi ambacho ni kama salamu za mapema kwa wapinzani wanaotarajiwa kukutana…

Read More

Samia asisitiza amani akizindua mradi wa maji Lamadi

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wakazi wa Lamadi kudumisha amani na utulivu ili kuiwezesha Serikali kuendelea kuwahudumia ipasavyo na kulisaidia Taifa, kusonga mbele katika kujitegemea kiuchumi. Akizungumza na wananchi mara baada ya kufungua mradi wa maji Lamadi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu leo Alhamisi Juni 19, 2025, Rais Samia amesema Serikali imejitahidi kupeleka huduma…

Read More

HESLB yafungua dirisha la mikopo

Dar es Salaam. Kiasi cha Sh916.7 bilioni kimetengwa kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025/ 2026. Fedha hizo zitawanufaisha jumla ya wanafunzi 99,620 wa mwaka wa kwanza katika ngazi za diploma, shahada ya kwanza na shahada za uzamili. Akizungumza leo Alhamisi, Juni 19, 2025 wakati wa kutangazwa…

Read More

Shamrashamra kabla uzinduzi wa Daraja JP Magufuli

Mwanza. Achana na wanaokimbia mchaka mchaka kutoka huku kwenda kule, wanaocheza muziki, wanaoimba nyimbo za kizalendo mithiri ya vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kitakachokuacha hoi ni idadi ya watu waliofurika eneo la mkutano kusubiri neno la uzinduzi wa Daraja la JP Magufuli. Hayo ni machache kati ya mengi yanayoendelea katika eneo la Kigongo-Busisi,…

Read More

Ni rasmi sasa, Rais Samia azindua daraja la JPM

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan amezinduliwa daraja la JPM maarufu kama Kigongo-Busisi leo Juni 19, 2025 mkoani Mwanza. Daraja hilo la sita kwa urefu barani Afrika limejengwa kwa gharama ya zaidi ya Sh700 bilioni. Utekelezaji wa mradi huo ukifanywa na mkandarasi China Civil Engineering Construction Corporation na China Railway 15 Bureau Group Corporation. Daraja hilo…

Read More

Vodacom ilivyoingiza matrilioni katika uchumi wa Tanzania

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka 25 iliyopita, Kampuni ya Vodacom Tanzania imekuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha uchumi wa Taifa na kuinua maisha ya wananchi kupitia uwekezaji wa kihistoria, huduma za kisasa, ajira na miradi ya kijamii. Kwa jumla, kampuni hiyo imewekeza zaidi ya Sh4.5 trilioni kwenye miundombinu na huduma, huku zaidi ya…

Read More

Wataalamu wasisitiza Afrika kuunganisha nguvu kufungua fursa za nishati

Cape Town. Wataalamu wa nishati wamesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuunganisha nguvu kama mkakati muhimu wa kukabiliana na changamoto sugu za nishati na kufungua fursa zilizopo katika sekta hiyo. Wakizungumza katika Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Forum) unaoendelea jijini Cape Town, Afrika Kusini, ambao unahudhuriwa na washiriki takriban 6,000 wakiwemo viongozi kutoka sekta…

Read More