PETER MASHILI KUVAANA NA BASHE JIMBO LA NZEGA MJINI

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MASHILI COMPANY LIMITED ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi Mining) Ndg Peter Andrea Mashili ametangaza nia ya Kugombea Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini akiahidi kumg’oa Mbunge aliyepo Mhe Hussein Bashe ambaye ni Waziri wa Kilimo kwa madai kwamba…

Read More

DENNIS LONDO ACHUKUA FOMU YA UBUNGE MIKUMI

Naibu Waziri anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi, amechukuwa Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mikumi kwa awamu nyingine. Londo amekabidhiwa Fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa Ndg. Janus Mfaume tarehe 29 Juni, 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa.

Read More

Aliyeenguliwa kuwania urais ADC kutinga kwa msajili

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho na aliyewahi kuwa Mbunge wa Mwibara mkoani Mara, Mutamwega Mgaywa amekusudia kukata rufaa kwenda  Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, kupinga mchakato huo. Msingi wa kuchukua uamuzi huo ni…

Read More

Simulizi ya mzee aliyepoteza 10 ajalini Same

Same. Matarajio ya kusherehekea harusi yamegeuka huzuni na majonzi kwa familia ya mzee Kiluvia, anayeishi Ngusero, Same Mjini, mkoani Kilimanjaro, baada ya kupoteza watu 10, kati yao ndugu zake ni wanne na sita ni wapangaji wake. Watu hao ni kati ya 38 waliopoteza maisha katika ajali ya Basi la Kampuni ya Channel One na basi…

Read More

QPR yamalizana na beki Mbongo

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania. QPR imemsajili beki huyo wa kulia raia wa Australia kutoka Macarthur FC ya Sydney kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kumalizika Juni 30 mwaka huu. Adamson, mwenye umri wa…

Read More