Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 9
Michezo

Yanga yaoga minoti Zanzibar, yazawadiwa Sh100 milioni

June 30, 2025 Admin

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ameizawadia klabu ya Yanga Sh100 millioni kwa kutambua ushindi na mafanikio makubwa ya klabu hiyo kwa msimu wa 2024/25.

Read More
Habari

PETER MASHILI KUVAANA NA BASHE JIMBO LA NZEGA MJINI

June 30, 2025 Admin

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MASHILI COMPANY LIMITED ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi

Read More
Habari

DAS Kinondoni aipongeza MONTI International kwa kuibua, kulea vipaji vya watoto

June 30, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KATIBU Tawala Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam Warda Abdallah ameipongeza Shule ya Kimataifa ya Monti kwa kuibua

Read More
Habari

DENNIS LONDO ACHUKUA FOMU YA UBUNGE MIKUMI

June 30, 2025 Admin

Naibu Waziri anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi, amechukuwa Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mikumi kwa awamu nyingine. Londo

Read More
Habari

Mimba za utotoni zapungua, matumizi holela dawa za uzazi wa mpango yaibuka

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati mikoa ya Lindi na Mtwara ikipunguza mimba za utotoni kutokana na utoaji elimu ya afya ya uzazi kwa vijana, kumeibuka changamoto

Read More
Habari

Aliyeenguliwa kuwania urais ADC kutinga kwa msajili

June 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho

Read More
Habari

Simulizi ya mzee aliyepoteza 10 ajalini Same

June 30, 2025 Admin

Same. Matarajio ya kusherehekea harusi yamegeuka huzuni na majonzi kwa familia ya mzee Kiluvia, anayeishi Ngusero, Same Mjini, mkoani Kilimanjaro, baada ya kupoteza watu 10,

Read More
Habari

Wawili wafariki kwa kufukiwa na kifusi wakichimba mawe Pemba

June 30, 2025 Admin

Pemba. Huzuni na majonzi vimetawala kwa familia ya Mzee Ali Shoka na wakaazi wa Mjini Wingwi Wilaya ya Micheweni baada watu wawili wa familia moja

Read More
Habari

MKWAWA: NIPO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI SONGEA MJINI

June 30, 2025 Admin

Aliyekuwa Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Matogoro, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Issa Mkwawa, amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa

Read More
Michezo

QPR yamalizana na beki Mbongo

June 30, 2025 Admin

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.