Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ameizawadia klabu ya Yanga Sh100 millioni kwa kutambua ushindi na mafanikio makubwa ya klabu hiyo kwa msimu wa 2024/25.
Month: June 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MASHILI COMPANY LIMITED ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KATIBU Tawala Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam Warda Abdallah ameipongeza Shule ya Kimataifa ya Monti kwa kuibua

Naibu Waziri anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi, amechukuwa Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mikumi kwa awamu nyingine. Londo

Dar es Salaam. Wakati mikoa ya Lindi na Mtwara ikipunguza mimba za utotoni kutokana na utoaji elimu ya afya ya uzazi kwa vijana, kumeibuka changamoto

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho

Same. Matarajio ya kusherehekea harusi yamegeuka huzuni na majonzi kwa familia ya mzee Kiluvia, anayeishi Ngusero, Same Mjini, mkoani Kilimanjaro, baada ya kupoteza watu 10,

Pemba. Huzuni na majonzi vimetawala kwa familia ya Mzee Ali Shoka na wakaazi wa Mjini Wingwi Wilaya ya Micheweni baada watu wawili wa familia moja

Aliyekuwa Diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Matogoro, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Issa Mkwawa, amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania.