TADB, TWCC KUINUA WANAWAKE NA VIJANA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeingia makubaliano na Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) kwa lengo la kuwawezesha wanawake na vijana wajasiriamali wanaoshiriki katika minyororo ya thamani ya kilimo, mifugo na uvuvi nchini. Makubaliano haya ya miaka miwili yamesainiwa tarehe 17 Juni 2025 katika makao makuu ya TADB, yakihusisha viongozi waandamizi kutoka taasisi…

Read More

Maagizo manne ya Rais Samia Simiyu

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo manne muhimu mkoani Simiyu, likiwemo alilolielekeza Wizara ya Kilimo kuhakikisha kuwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inafungua ofisi katika mikoa yote itakayohusishwa na mradi mkubwa wa umwagiliaji kutoka Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika. Mradi huo unalenga kuwahudumia wakulima wa mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Magharibi,…

Read More

RC KAGERA AIPONGEZA BIHARAMULO RIPOTI YA CAG

::::::: Na Daniel Limbe, Torch Media SERIKALI mkoani Kagera imedai kufarahishwa na matumizi mazuri ya fedha za umma katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye halmashauri ya wilaya ya Biharamulo, hali iliyo sababisha kuendelea kupata hati safi katika ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) mwaka 2023/24. Pongezi hizo zimetolewa na…

Read More

CRDB BENKI YATOA MILIONI 130 UNUNUZI VIFAA VYA MICHEZO

:::::::: Na Ester Maile Dodoma  Benki ya CRDB ambayo ni mdhamini mkuu wa Grand Bunge Bonanza imetumia milioni miamoja thelethin kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya michezi ya Bonanza.  Ambapo Bonanza hilo litachezwa tarehe 21 June 2025 ambapo michezo kumi na moja itachezwaa kati ya wabunge na taasisi mbalimbali . Ameyaeleza hayo mwenyekiti wa…

Read More

42 mbaroni kwa tuhuma za uhalifu Tanga

Tanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limewakamata watu 42 katika operesheni maalumu ya kukabiliana na wahalifu, wanaohusishwa na makosa mbalimbali ya jinai katika maeneo tofauti ya mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu watuhumiwa hao, leo Juni 18, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema watuhumiwa 29 wamekamatwa…

Read More