Vita ya ubingwa Bara… Simba, Yanga zakabana koo

MWENDO wa weka niweke ulikuwa katika mechi za raundi ya 29 za Ligi Kuu Bara zilizochezwa Jumatano hii ambapo kulikuwa na vita kubwa ya kujitengenezea mazingira mazuri ya kubeba ubingwa na kuepuka kucheza mechi za mtoano (play offs) ya kutoshuka daraja. Hiyo ni baada ya KenGold na Kagera Sugar kushuka daraja moja kwa moja na…

Read More

Pembejeo, mikopo vyatajwa kuongeza uzalishaji tumbaku

Serengeti. Imeelezwa kuwa kilimo cha tumbaku mkoani Mara kinaendelea kuwa mkakati muhimu wa kukuza uchumi wa wakulima na jamii, hasa katika wilaya za Serengeti, Tarime na Rorya. Ambapo wakulima 2,944 wamejisajili  kwenye Bodi ya Tumbaku kwa ajili ya kilimo cha zao hilo. Katika mkutano wa Chama Kikuu cha Wakulima wa Mara (Wamacu) unaoshirikisha wadau wa…

Read More

Tanzania Yaharakisha Malengo ya Nishati Safi ya Kupikia ya 2034 kwa Kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Matumizi ya Nishati ya Kupikia ya Umeme

Wizara ya Nishati, kwa ushirikiano na Modern Energy Cooking Services (MECS) na UK International Development, wamezindua rasmi Kampeni ya Kwanza ya Kitaifa ya Uhamasishaji wa Nishati ya Umem ya Kupikia (eCooking) nchini Tanzania. Mpango huu wa kihistoria ni sehemu muhimu ya Mpango wa MECS wa kukuza na kusaidia nishati ya umeme unaofadhiliwa na UKAid, ambao…

Read More

SIMBACHAWENE AWAPONGEZA WANUFAIKA TASAF WALIOHITIMU

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Boniface Simbachawene, amewapongeza wanufaika waliohitimu na mpango wa kusaidia Kaya Maskini (TASAF),huku akiwasisitiza waendelea kujituma ili waweze kujiinua kiuchumi wao na familia zao. Simbachawene ameyasema hayo alipotembelea Banda la TASAF wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya wiki ya Utumishi yanayoendelea…

Read More

Iran yaionya Marekani, Khamenei agoma kusalimu amri

Tehran, Iran. Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayattolah Ali Khamenei ameionya Marekani kutojihusisha na mzozo unaoendelea kati ya taifa lake na Israel, huku akidai kuwa ikifanya hilo kosa mzozo huo utageuka kuwa vita kamili.  Shirika la Habari la Serikali la Tasnim limeripoti kuwa, Khamenei ametoa kauli hiyo leo Jumatano Juni 18, 2025, wakati ambao Israel na…

Read More

RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA SOKO LA KISASA MOROMBO NA UWANJA WA MICHEZO ARUSHA

Na Pamela Mollel,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh,Paul Makonda ameshuhudia utiaji Saini wa ujenzi wa soko la kisasa la machinga eneo la Morombo jijini Arusha pamoja na ujenzi wa uwanja wa michezo Aidha ujenzi wa soko hilo la kisasa utagharimu shilingi milioni 710,129,240.94 huku uwanja wa michezo utagharimu Bilioni 9,614,158,878,60 Katika miradi hiyo kampuni…

Read More

WAZIRI SILAA AIELEKEZA TCRA KUPIGA KAMBI RADDY ELECTRONICS

Mkuranga, Juni 18, 2025 – Mwamvua Mwinyi Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia na Habari, Mhe. Jerry Silaa (Mb), ameielekeza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupiga kambi katika kiwanda cha kutengeneza simu janja cha Raddy Electronics kilichopo Mkuranga, mkoani Pwani, kwa lengo la kufuatilia kwa ukaribu ubora na viwango vya uzalishaji kulingana na ushindani wa soko, ili…

Read More