MATUKIO KATIKA PICHA ; UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA JIJINI DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akifungua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho hayo uliofanyika Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Juma Mkomi akitoa salamu za…